Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Heaven on Earth, why didnt you consult me? pole sana
Umeolewa au una bwana au boy friend au mpenzi?,je vipi unafanya tendo la ndoa bila kukaa muda mrefu bila kufanya?,ukinijibu hayo baasi,dawa yako imepatikana,tena haraka utarudia hali ya furaha tupu.Habari wana Jamvi,
Mimi nina tatizo na sijui hata nielezaje lakini for the past few days mambo yamekuwa magumu sana,Nimekuwa nikiandamwa na hisia za KIFO kama vile muda wowote naenda kufa. yaani hata sielewi hiihali imekuwa ikinikosesha amani sana.
Hali hii ilianza miezi kadhaa iiliyopita lakini jinsi siku zinavyokwendandio hali inazidi kuongezeka saaana. Nimekuwa mwingi wa hofu kutokana na haya mawazo yanayonijia kilamara sasa nashindwa kuelewa nini ni shida mbona sijawahi kupata na hii hali na sasa inatokana na nini.
Nashinda nyumbani muda mwingi saa nyingine hadi mama angu ananiuliza nina tatizo gani simwambiimaana ye ukimwambia una tatizo basi tena.
Namwambia niko okay ila kiukweli siko okay kabisaa. .najitahidi kuji keep busy, nawatch movie, nakuwa Jf, nikaamua nianze kusoma tena ili niwe busy muda mwingi lakini hadi najuta kwa nini nime opt kusoma maana…..,na hali hii inazidi kunitesa.
Nimejikutakila nikikaa mi mawazo yangu ni naenda kufa tu..
The only thing inakuja eti am going to die soon enheeMungu ni nini hiki au ndio ukweli siku zangu zimekaribia.
Naweza kuwa nimekaa na marafiki mahali najitahidi kujifanya am okay lakin muda mwingine hayo mawazoyanakuja muda mwingine hadi wananishtua najifanya kama nasikiliza kumbe waala mimi sikuwa huko kabisaa.Sasa nikiumwa kidogo tu ndio naona tayari.
kama siku ya jana nilivyokuwa najisikia ilikuwa terrible nikawanatamani hadi nianzishe thread usiku ule ule,maana hadi nikawa nahisi asubuhi ya leo siwezi kuiona.
Najua kila mtu atakufa lakin ila nifanyaje jaman hii hali ya kila muda kuwaza hivi inanikosesha amani kabisa.Inanipa majonzi sana. I don't know kama mnanielewa, I WISH MNIELEWE WITH WHAT AM GOING THROUGHRIGHT NOW ILA NAPATA TABU SANA.NB. This is very serious sio kama utani mwingine ninaoanzishaga siku nyingine.
Nahitaji ushauri wenu
Gwajima yupo kwa ajili ya UFUFUO NA UZIMA,kwa nini uogope,nenda kamuone mamii.charger hope that's just a joke,nafikiri ulisoma pale mwishoni jinsi Heaven on Earth mwenyewe alivyosema this is not a joke jamani its something seriously and frightening to her please!!!!!!!!!!!!!!!
mmmh!!! my dear....... mpaka nimekosa cha kuandika.
Wewe ni wema sepetu?Habari wana Jamvi,
Mimi nina tatizo na sijui hata nielezaje lakini for the past few days mambo yamekuwa magumu sana,Nimekuwa nikiandamwa na hisia za KIFO kama vile muda wowote naenda kufa. yaani hata sielewi hiihali imekuwa ikinikosesha amani sana.
Hali hii ilianza miezi kadhaa iiliyopita lakini jinsi siku zinavyokwendandio hali inazidi kuongezeka saaana. Nimekuwa mwingi wa hofu kutokana na haya mawazo yanayonijia kilamara sasa nashindwa kuelewa nini ni shida mbona sijawahi kupata na hii hali na sasa inatokana na nini.
Nashinda nyumbani muda mwingi saa nyingine hadi mama angu ananiuliza nina tatizo gani simwambiimaana ye ukimwambia una tatizo basi tena.
Namwambia niko okay ila kiukweli siko okay kabisaa. .najitahidi kuji keep busy, nawatch movie, nakuwa Jf, nikaamua nianze kusoma tena ili niwe busy muda mwingi lakini hadi najuta kwa nini nime opt kusoma maana…..,na hali hii inazidi kunitesa.
Nimejikutakila nikikaa mi mawazo yangu ni naenda kufa tu..
The only thing inakuja eti am going to die soon enheeMungu ni nini hiki au ndio ukweli siku zangu zimekaribia.
Naweza kuwa nimekaa na marafiki mahali najitahidi kujifanya am okay lakin muda mwingine hayo mawazoyanakuja muda mwingine hadi wananishtua najifanya kama nasikiliza kumbe waala mimi sikuwa huko kabisaa.Sasa nikiumwa kidogo tu ndio naona tayari.
kama siku ya jana nilivyokuwa najisikia ilikuwa terrible nikawanatamani hadi nianzishe thread usiku ule ule,maana hadi nikawa nahisi asubuhi ya leo siwezi kuiona.
Najua kila mtu atakufa lakin ila nifanyaje jaman hii hali ya kila muda kuwaza hivi inanikosesha amani kabisa.Inanipa majonzi sana. I don't know kama mnanielewa, I WISH MNIELEWE WITH WHAT AM GOING THROUGHRIGHT NOW ILA NAPATA TABU SANA.NB. This is very serious sio kama utani mwingine ninaoanzishaga siku nyingine.
Nahitaji ushauri wenu
yaan for me I don't want to wait no more. In the name of Jesus, I bind all the plans of the devil and no one/no power can overcome you.Blue G asante....,sa hivi hadi kulala mwenyewe naogopa tena.
sijawahi kumwelezea mtu hii shida ila leo ndio nimesema humu
maana nimeona hali inazidi kuwa mbaya
asante ninafatilia kwa ukaribu ushauri wa watu wote
Habari wana Jamvi,
Mimi nina tatizo na sijui hata nielezaje lakini for the past few days mambo yamekuwa magumu sana,Nimekuwa nikiandamwa na hisia za KIFO kama vile muda wowote naenda kufa. yaani hata sielewi hiihali imekuwa ikinikosesha amani sana.
Hali hii ilianza miezi kadhaa iiliyopita lakini jinsi siku zinavyokwendandio hali inazidi kuongezeka saaana. Nimekuwa mwingi wa hofu kutokana na haya mawazo yanayonijia kilamara sasa nashindwa kuelewa nini ni shida mbona sijawahi kupata na hii hali na sasa inatokana na nini.
Nashinda nyumbani muda mwingi saa nyingine hadi mama angu ananiuliza nina tatizo gani simwambiimaana ye ukimwambia una tatizo basi tena.
Namwambia niko okay ila kiukweli siko okay kabisaa. .najitahidi kuji keep busy, nawatch movie, nakuwa Jf, nikaamua nianze kusoma tena ili niwe busy muda mwingi lakini hadi najuta kwa nini nime opt kusoma maana…..,na hali hii inazidi kunitesa.
Nimejikutakila nikikaa mi mawazo yangu ni naenda kufa tu..
The only thing inakuja eti am going to die soon enheeMungu ni nini hiki au ndio ukweli siku zangu zimekaribia.
Naweza kuwa nimekaa na marafiki mahali najitahidi kujifanya am okay lakin muda mwingine hayo mawazoyanakuja muda mwingine hadi wananishtua najifanya kama nasikiliza kumbe waala mimi sikuwa huko kabisaa.Sasa nikiumwa kidogo tu ndio naona tayari.
kama siku ya jana nilivyokuwa najisikia ilikuwa terrible nikawanatamani hadi nianzishe thread usiku ule ule,maana hadi nikawa nahisi asubuhi ya leo siwezi kuiona.
Najua kila mtu atakufa lakin ila nifanyaje jaman hii hali ya kila muda kuwaza hivi inanikosesha amani kabisa.Inanipa majonzi sana. I don't know kama mnanielewa, I WISH MNIELEWE WITH WHAT AM GOING THROUGHRIGHT NOW ILA NAPATA TABU SANA.NB. This is very serious sio kama utani mwingine ninaoanzishaga siku nyingine.
Nahitaji ushauri wenu
Lady niece, you had a good advice only that, I have one point to add to your advice.shalom mpendwa ni muhimu ufanye maombi ya delivarance kwani ni roho ya mauti inakuandama paispo kujijua wewe hivyo ni vyema umshirikishe kiongozi wa ko wa dini jambo hili na vilevile hata umshirikishe mama yako uenda naye atakusaidia katika maombi kwani ni roho hiyo inaingia taratibu na unaoneshwa ili uanze kufunga na kuomba pia acha ubishi kushindana nayo chukua hatua zaidi uanze maombi kwani italeta shida na itakuwa inakusumbua kwenye mawazo yako rafiki
Pole sana, tatizo la msingi ni lipi? Hilo uliloliandika ni matokeo ya tatizo la msingi lililokutokea.Habari wana Jamvi,
Mimi nina tatizo na sijui hata nielezaje lakini for the past few days mambo yamekuwa magumu sana,Nimekuwa nikiandamwa na hisia za KIFO kama vile muda wowote naenda kufa. yaani hata sielewi hiihali imekuwa ikinikosesha amani sana.
Hali hii ilianza miezi kadhaa iiliyopita lakini jinsi siku zinavyokwendandio hali inazidi kuongezeka saaana. Nimekuwa mwingi wa hofu kutokana na haya mawazo yanayonijia kilamara sasa nashindwa kuelewa nini ni shida mbona sijawahi kupata na hii hali na sasa inatokana na nini.
Nashinda nyumbani muda mwingi saa nyingine hadi mama angu ananiuliza nina tatizo gani simwambiimaana ye ukimwambia una tatizo basi tena.
Namwambia niko okay ila kiukweli siko okay kabisaa. .najitahidi kuji keep busy, nawatch movie, nakuwa Jf, nikaamua nianze kusoma tena ili niwe busy muda mwingi lakini hadi najuta kwa nini nime opt kusoma maana…..,na hali hii inazidi kunitesa.
Nimejikutakila nikikaa mi mawazo yangu ni naenda kufa tu..
The only thing inakuja eti am going to die soon enheeMungu ni nini hiki au ndio ukweli siku zangu zimekaribia.
Naweza kuwa nimekaa na marafiki mahali najitahidi kujifanya am okay lakin muda mwingine hayo mawazoyanakuja muda mwingine hadi wananishtua najifanya kama nasikiliza kumbe waala mimi sikuwa huko kabisaa.Sasa nikiumwa kidogo tu ndio naona tayari.
kama siku ya jana nilivyokuwa najisikia ilikuwa terrible nikawanatamani hadi nianzishe thread usiku ule ule,maana hadi nikawa nahisi asubuhi ya leo siwezi kuiona.
Najua kila mtu atakufa lakin ila nifanyaje jaman hii hali ya kila muda kuwaza hivi inanikosesha amani kabisa.Inanipa majonzi sana. I don't know kama mnanielewa, I WISH MNIELEWE WITH WHAT AM GOING THROUGHRIGHT NOW ILA NAPATA TABU SANA.NB. This is very serious sio kama utani mwingine ninaoanzishaga siku nyingine.
Nahitaji ushauri wenu
Habari wana Jamvi,
Mimi nina tatizo na sijui hata nielezaje lakini for the past few days mambo yamekuwa magumu sana,Nimekuwa nikiandamwa na hisia za KIFO kama vile muda wowote naenda kufa. yaani hata sielewi hiihali imekuwa ikinikosesha amani sana.
Hali hii ilianza miezi kadhaa iiliyopita lakini jinsi siku zinavyokwendandio hali inazidi kuongezeka saaana. Nimekuwa mwingi wa hofu kutokana na haya mawazo yanayonijia kilamara sasa nashindwa kuelewa nini ni shida mbona sijawahi kupata na hii hali na sasa inatokana na nini.
Nashinda nyumbani muda mwingi saa nyingine hadi mama angu ananiuliza nina tatizo gani simwambiimaana ye ukimwambia una tatizo basi tena.
Namwambia niko okay ila kiukweli siko okay kabisaa. .najitahidi kuji keep busy, nawatch movie, nakuwa Jf, nikaamua nianze kusoma tena ili niwe busy muda mwingi lakini hadi najuta kwa nini nime opt kusoma maana…..,na hali hii inazidi kunitesa.
Nimejikutakila nikikaa mi mawazo yangu ni naenda kufa tu..
The only thing inakuja eti am going to die soon enheeMungu ni nini hiki au ndio ukweli siku zangu zimekaribia.
Naweza kuwa nimekaa na marafiki mahali najitahidi kujifanya am okay lakin muda mwingine hayo mawazoyanakuja muda mwingine hadi wananishtua najifanya kama nasikiliza kumbe waala mimi sikuwa huko kabisaa.Sasa nikiumwa kidogo tu ndio naona tayari.
kama siku ya jana nilivyokuwa najisikia ilikuwa terrible nikawanatamani hadi nianzishe thread usiku ule ule,maana hadi nikawa nahisi asubuhi ya leo siwezi kuiona.
Najua kila mtu atakufa lakin ila nifanyaje jaman hii hali ya kila muda kuwaza hivi inanikosesha amani kabisa.Inanipa majonzi sana. I don't know kama mnanielewa, I WISH MNIELEWE WITH WHAT AM GOING THROUGHRIGHT NOW ILA NAPATA TABU SANA.NB. This is very serious sio kama utani mwingine ninaoanzishaga siku nyingine.
Nahitaji ushauri wenu