Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 326
- 627
Naomba kujua jinsi ya kupata namba ya NIDA siku hizi nafanyaje. Zamani ilikuwa kuna menu naingia sasa utaratibu siku hizi umekaaje?
Naomba kujua jinsi ya kupata namba ya NIDA siku hizi nafanyaje.Zamani ilikuwa kuna menu naingia sasa utaratibu siku hizi umekaaje?
Tangu niifahamu id hii leo ndio nimesoma koment ya kiungwanaMsaidieni jamani sio kumsema hamuwezi jua kwanini mpaka sasa hajakariri au nakili namba zake za NIDA.
Mishe nyingi za kitaa huwa hazihitaji NIDA hivyo sishangai jamaa kutokukariri namba zake.
Oooh ahsante sana asee
Barikiwa kijana wangu
Nan kafanikiwa maana kwangu inakataa
Nan kafanikiwa maana kwangu inakataa
Barikiwa kijana wangu
Daah kumbe h kitu inawezekana eee, kwahy kama ulimsajilia mtu bc anaweza kupata nida yako bila ww mmiliki kujua.?Nenda kwa wakala yoyote na namba ya simu uliyo sajilia kitambulisho cha nida atakusaidia
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Yap easy tuDaah kumbe h kitu inawezekana eee, kwahy kama ulimsajilia mtu bc anaweza kupata nida yako bila ww mmiliki kujua.?
Shukrn maana dah nilipoteza kitambulisho toka 2018 namba nkaisahau yn
Mimi yangu nimeisevu kwenye simu yangu. Nimeikariri pia.Naomba kujua jinsi ya kupata namba ya NIDA siku hizi nafanyaje. Zamani ilikuwa kuna menu naingia sasa utaratibu siku hizi umekaaje?
Shukrn maana dah nilipoteza kitambulisho toka 2018 namba nkaisahau yn