Mnyalu Junior
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 573
- 200
Habari wana JF.
Nilikuwa na SATA Hard Disk yangu aina ya SEAGATE yenye ukubwa wa 250GB. Hard Disk hii mwanzo nilikuwa naitumia ndan (As Internal Hard Disk). Baadaye nikanunua Hard Disk case nikawa naitumia as External Hard Disk.
Ilitokea tatizo fulani ikawa imeungua ile terminal ya kijani (ile inayopokea power na kutoa data) ikasababisha hata plates zikawa hazizunguki na hvo kutosoma kabisa. Nilimpelekea fundi flani akawa kaitengeneza ikawa km inazunguka BUT still HAISOMI chochote!
Je, nitaokoaje na kuweza kupata data zangu zilizomo ndani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na SATA Hard Disk yangu aina ya SEAGATE yenye ukubwa wa 250GB. Hard Disk hii mwanzo nilikuwa naitumia ndan (As Internal Hard Disk). Baadaye nikanunua Hard Disk case nikawa naitumia as External Hard Disk.
Ilitokea tatizo fulani ikawa imeungua ile terminal ya kijani (ile inayopokea power na kutoa data) ikasababisha hata plates zikawa hazizunguki na hvo kutosoma kabisa. Nilimpelekea fundi flani akawa kaitengeneza ikawa km inazunguka BUT still HAISOMI chochote!
Je, nitaokoaje na kuweza kupata data zangu zilizomo ndani?
Sent using Jamii Forums mobile app