Napata wapi material ya kutengeneza mafuta halisi ya kujipaka?

Napata wapi material ya kutengeneza mafuta halisi ya kujipaka?

LadyV

Member
Joined
May 6, 2010
Posts
54
Reaction score
29
Habari Wana JF!
Kwakweli nafurahia sana kusoma JF tangu nijiunge na inafurahisha.
Leo naomba muongozo kidogo, nataka kutengeneza mafuta ya kupaka mwilini i.e. lotion na cream, je ntapata wapi vitu vya kutengenezea kama mafuta halisia (as in natural undiluted) ya Mlozi (almond), moringa, grapeseed, cocoa butter block na mawese?

Ntashukuru sana kwa msaada wowote ule.
 
Habari Wana JF!
Kwakweli nafurahia sana kusoma JF tangu nijiunge na inafurahisha.
Leo naomba muongozo kidogo, nataka kutengeneza mafuta ya kupaka mwilini i.e. lotion na cream, je ntapata wapi vitu vya kutengenezea kama mafuta halisia (as in natural undiluted) ya Mlozi (almond), moringa, grapeseed, cocoa butter block na mawese?

Ntashukuru sana kwa msaada wowote ule.
mkuu kazi ikianza unikumbuke hata kwa kakopo kamoja cha cream
 
Back
Top Bottom