spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,532
Wakuu Mimi na tatizo moja ambalo linanikuta katika mahusiano.
Mara nyingi kama sio mara zote nimekuwa najikuta nimeangukia katika mapenzi na watu walionizidi umri. Sio masugar mama hapana ila difference inakuwepo 2 to 4 years na pia nkitafta rika langu inakuwa shida. Nifanyeje?
PS: Nina umri wa miaka 24
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi kama sio mara zote nimekuwa najikuta nimeangukia katika mapenzi na watu walionizidi umri. Sio masugar mama hapana ila difference inakuwepo 2 to 4 years na pia nkitafta rika langu inakuwa shida. Nifanyeje?
PS: Nina umri wa miaka 24
Sent using Jamii Forums mobile app
