Napata naumivu kwenye joints za vidole vya Mikono na Miguu nyakati za Baridi

Petro Oswald

JF-Expert Member
Aug 17, 2015
2,323
1,713
Habari za Mchana wana JF,

Kama ambavyo Title inajieleza, nina tatizo la kupatwa na maumivu kwenye maungio ya vidole na miguu nyakati za baridi kali. Ninaomba kufahamu hilo ni tatizo gani na pia ni njia gani ninaweza kuitumia ili kupunguza madhara ya tatizo hilo au kulimaliza kabisa.

Natanguliza Shukrani.
 
Habari za Mchana wana JF,

Kama ambavyo Title inajieleza, nina tatizo la kupatwa na maumivu kwenye maungio ya vidole na miguu nyakati za baridi kali. Ninaomba kufahamu hilo ni tatizo gani na pia ni njia gani ninaweza kuitumia ili kupunguza madhara ya tatizo hilo au kulimaliza kabisa.

Natanguliza Shukrani.
Hello pole sana hujaelezaumri wako?kilo ngapi?maradhi yako ya muda gani?na umesha wahi kutumia dawa gani za kizungu aka dawa za hospitali? Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Habari za Mchana wana JF,

Kama ambavyo Title inajieleza, nina tatizo la kupatwa na maumivu kwenye maungio ya vidole na miguu nyakati za baridi kali. Ninaomba kufahamu hilo ni tatizo gani na pia ni njia gani ninaweza kuitumia ili kupunguza madhara ya tatizo hilo au kulimaliza kabisa.

Natanguliza Shukrani.

Kutokana na ufupi wa maelezo, si rahisi sana kupata majibu ya moja kwa moja ya kinakusibu nini. Lakini pia, itahitaji mtu kukuona na kupata maelezo zaidi na kukufanyia ukaguzi wa joint husika ili kufikia jibu mwafaka, ikiwezekana kufanya vipimo zaidi.

Binafsi naweza kufikiria mambo mawili:

1: Tatizo la kushambuliwa kwa jointi. Hii inaweza kuanzia kwenye mfumo wako wa kinga. Hii husababisha nafasi kwenye jointi kuwa ndogo, ndipo unapotokea wakati wa baridi ambapo wakati huo viunganishi ndani ya jointi hutanuka na kukuta hakuna nafasi ya kutosha na hivyo maumivu huanza.(Arthritis).

2: Inaweza kuwa ni tatizo lililoko kwenye mishipa ya damu. Ambalo kutokana na kasoro ndani yake basi ukipata baridi, mishipa yako ya damu iliyoko pembeni ya mwili/peripheral hukaza sana na kusababisha damu isipite vizuri. Matokeo yake ni maumivu. (Reunald disease vs phenomena).

Suluhisho litategemea na ni nini hasa tatizo la msingi. Daktari ambaye napendekeza umwone ni Rhematologist/daktari bingwa wa magonjwa ya jointi kama kwa sehemu uliyopo unaweza kumpata au physician/daktari bingwa wa magonjwa ya ndani kama huyu wa kwanza hutaweza kumpata.
 
Habari za Mchana wana JF,

Kama ambavyo Title inajieleza, nina tatizo la kupatwa na maumivu kwenye maungio ya vidole na miguu nyakati za baridi kali. Ninaomba kufahamu hilo ni tatizo gani na pia ni njia gani ninaweza kuitumia ili kupunguza madhara ya tatizo hilo au kulimaliza kabisa.

Natanguliza Shukrani.
Karibu
Gombeyehealthcare
Kwa huduma mbalimbali ikiwemo Matatizo ya Mifupa nk
Wasiliana nasi kwa namba +255 678 211 747/ +255 733 482 038

Tunapatikana Dar es salaam ILALA.na mikoani kote Tunatoa huduma.
 
Kutokana na ufupi wa maelezo, si rahisi sana kupata majibu ya moja kwa moja ya kinakusibu nini. Lakini pia, itahitaji mtu kukuona na kupata maelezo zaidi na kukufanyia ukaguzi wa joint husika ili kufikia jibu mwafaka, ikiwezekana kufanya vipimo zaidi.

Binafsi naweza kufikiria mambo mawili:

1: Tatizo la kushambuliwa kwa jointi. Hii inaweza kuanzia kwenye mfumo wako wa kinga. Hii husababisha nafasi kwenye jointi kuwa ndogo, ndipo unapotokea wakati wa baridi ambapo wakati huo viunganishi ndani ya jointi hutanuka na kukuta hakuna nafasi ya kutosha na hivyo maumivu huanza.(Arthritis).

2: Inaweza kuwa ni tatizo lililoko kwenye mishipa ya damu. Ambalo kutokana na kasoro ndani yake basi ukipata baridi, mishipa yako ya damu iliyoko pembeni ya mwili/peripheral hukaza sana na kusababisha damu isipite vizuri. Matokeo yake ni maumivu. (Reunald disease vs phenomena).

Suluhisho litategemea na ni nini hasa tatizo la msingi. Daktari ambaye napendekeza umwone ni Rhematologist/daktari bingwa wa magonjwa ya jointi kama kwa sehemu uliyopo unaweza kumpata au physician/daktari bingwa wa magonjwa ya ndani kama huyu wa kwanza hutaweza kumpata.
Shukrani Mkuu
 
Hello pole sana hujaelezaumri wako?kilo ngapi?maradhi yako ya muda gani?na umesha wahi kutumia dawa gani za kizungu aka dawa za hospitali? Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
Umri miaka 27, Kilo 62 sijawahi kutumia dawa zozote. Hii shida ina muda mrefu sasa, huwa inaisha yenyewe wakati wa baridi ukipita ila imeniachia kama alama nyeusi hivi kwenye joints za vidole.
 
Back
Top Bottom