Ni jambo jema sana, ubarikiwe msukumo ugeuke kuwa matendo.Husika na kichwa cha habari....hii ni kwa imani na matokeo ya tafiti endelevu yanayoendelea...msaada wa kesi ..msaada wa matibabu...msaada wa masuala ya kija mii n.k.
Msaada wa uwazi bila kuonana ana kwa ana,
LETE MAONI
Umenichekesha 😅😂😂 yani jirani kanipa stress sana.Binti wa zamani kwa nini uko macho mpaka muda huu? Huko Bongo sasa ni saa 9 za usiku. Usingizi umegoma au yule jirani mwenye binoculars bado anakuchungulia? 😂
Kuwala ni sehemu ya msaada pia..Usiwe km jamaa mmoja kule FB. Alikuwa anasaidia sana wajane na single moms. Kumbe lengo lake hasa lilikuwa ni kuwatumia kingono!
Toa misaada isomasharti. Vinginevyo utaishia kujichumisha midhambi tu. Never use misfortunes za watu kujinufaisha. Kujifanya unasaidia wajane na single moms kumbe lengo lako ni kuwala ni deviant behavior, ubinafsi na ukatili utakaopatilizwa!
UKO SAHIHIUsiwe km jamaa mmoja kule FB. Alikuwa anasaidia sana wajane na single moms. Kumbe lengo lake hasa lilikuwa ni kuwatumia kingono!
Toa misaada isomasharti. Vinginevyo utaishia kujichumisha midhambi tu. Never use misfortunes za watu kujinufaisha. Kujifanya unasaidia wajane na single moms kumbe lengo lako ni kuwala ni deviant behavior, ubinafsi na ukatili utakaopatilizwa!