funduku
Senior Member
- May 2, 2013
- 131
- 36
Habari wana JF,
Naandika kuomba ushauri juu ya hili tatizo la maumivu ya korodani ya upande wa kulia ambalo mara nyingi hunitokea pale ninapokua natembea au kukimbia kwa umbali mrefu. Tatizo hili ni la muda mrefu pia hua linakuja na kupotea.
Pia korodani hua kidogo inavimba na maumivu huongezeka pale ninapokua naishika au kuiminyaminya na wakati mwingine maumivu hupanda mpaka eneo karibu na tumbo kwa chini upande wa kulia.
Asanteni wakuu kwa yeyote mwenye kufahamu hili tatizo naomba ushauri wa jinsi ya kulimaliza, maana naogopa nisije nikashindwa kujenga familia hapo baadae.
Asante
Naandika kuomba ushauri juu ya hili tatizo la maumivu ya korodani ya upande wa kulia ambalo mara nyingi hunitokea pale ninapokua natembea au kukimbia kwa umbali mrefu. Tatizo hili ni la muda mrefu pia hua linakuja na kupotea.
Pia korodani hua kidogo inavimba na maumivu huongezeka pale ninapokua naishika au kuiminyaminya na wakati mwingine maumivu hupanda mpaka eneo karibu na tumbo kwa chini upande wa kulia.
Asanteni wakuu kwa yeyote mwenye kufahamu hili tatizo naomba ushauri wa jinsi ya kulimaliza, maana naogopa nisije nikashindwa kujenga familia hapo baadae.
Asante