ABDULAZIZI ALLY
New Member
- Feb 10, 2023
- 2
- 2
HABARI
Natumaini mpo salama kabisa hii post KWAAJILI ya watu wenye elimu zaidi ju la hili tatizo linalo nisumbua ivyo ningeomba mnipe ushauri kwa AMANI kwa muda mrefu sasa nasumbuliwa na tatzo la maumivu katika bega langu la KUSHOTO ila alijavimba liko kawaida tu.
Maumivu yake ni makali mno na bega linagoshekaa sana linatoka sautiii kama vile mtu akigisha vidole ila alinizui kulifanyia KAZI ilaa tatizo kubwa ni haya maumivuuu nilifanikiwa kwenda AMANA HOSPITAL nikafanya vipimo vya EXRAY Cha ajabu doctor kanambia akuna tatizo haoni tatizo.
Je, kuna Daktari yoyote mwenye uzoefu na hili umri wangu ni miaka 26 Sasa jinsia ni wakiume mkaka nina ulefu WA futi 5
KWA FAIDA YANGU NA KWA WENGINE PIA WANAOSUMBULIWA NA TTZO KAMA LA KWANGU NAOMBA USHAURIII NA MAJIBU HAPA.
Natumaini mpo salama kabisa hii post KWAAJILI ya watu wenye elimu zaidi ju la hili tatizo linalo nisumbua ivyo ningeomba mnipe ushauri kwa AMANI kwa muda mrefu sasa nasumbuliwa na tatzo la maumivu katika bega langu la KUSHOTO ila alijavimba liko kawaida tu.
Maumivu yake ni makali mno na bega linagoshekaa sana linatoka sautiii kama vile mtu akigisha vidole ila alinizui kulifanyia KAZI ilaa tatizo kubwa ni haya maumivuuu nilifanikiwa kwenda AMANA HOSPITAL nikafanya vipimo vya EXRAY Cha ajabu doctor kanambia akuna tatizo haoni tatizo.
Je, kuna Daktari yoyote mwenye uzoefu na hili umri wangu ni miaka 26 Sasa jinsia ni wakiume mkaka nina ulefu WA futi 5
KWA FAIDA YANGU NA KWA WENGINE PIA WANAOSUMBULIWA NA TTZO KAMA LA KWANGU NAOMBA USHAURIII NA MAJIBU HAPA.