tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,121
Baada ya watu mbali mbali kupaza sauti kuhusu baa la njaa. akili yangu inaota ndoto za mchana na kuona muda si mrefu watakanusha kauli ya mkuu wa nchi na kusema hatukumwelewa.
Rais amesema hamna njaa asiye weza kununua chakula kwa bei kubwa kama kufwa na afwe!! Hata ikibid debe moja tubadilishane na ng'ombe watatu. Yaan wenye chakula wapandishe bei kadri wawezavyo!! Asiye weza kununua akalime chakula chake . Na asiwepo mtu wa kuingilia bei safari hii akamalizia kwa kusema kufa kufaana!!
Sasa hivi naota mawaziri watakuja kuokoa jahazi na kusema hizi kauli zilikua utani kwa vile rais alikua maeneo ya nyumbani lakn njaa ipo na uhaba wa chakula upo ila kufa kwa njaa watu hawatakufa tutawapa chakula. Watakuja kusema kauli ya rais kusema hatogawa chakula ilikua ni msisitizo ili watu wafanye kaz na wajifunze kujitegemea. Kiukweli nategemea kauli kama hiz muda sio mrefu sana. Stay tuned mtaniambia.
Je kwa utendaji wa serikali hii ndugu mwana jf hutegemei viongozi wengine kuja kuweka mambo sawa baada ya mtukufu -------------- kutibua tibua???
Rais amesema hamna njaa asiye weza kununua chakula kwa bei kubwa kama kufwa na afwe!! Hata ikibid debe moja tubadilishane na ng'ombe watatu. Yaan wenye chakula wapandishe bei kadri wawezavyo!! Asiye weza kununua akalime chakula chake . Na asiwepo mtu wa kuingilia bei safari hii akamalizia kwa kusema kufa kufaana!!
Sasa hivi naota mawaziri watakuja kuokoa jahazi na kusema hizi kauli zilikua utani kwa vile rais alikua maeneo ya nyumbani lakn njaa ipo na uhaba wa chakula upo ila kufa kwa njaa watu hawatakufa tutawapa chakula. Watakuja kusema kauli ya rais kusema hatogawa chakula ilikua ni msisitizo ili watu wafanye kaz na wajifunze kujitegemea. Kiukweli nategemea kauli kama hiz muda sio mrefu sana. Stay tuned mtaniambia.
Je kwa utendaji wa serikali hii ndugu mwana jf hutegemei viongozi wengine kuja kuweka mambo sawa baada ya mtukufu -------------- kutibua tibua???