Naongea kwa sauti ya chini chini wasisikie watu

Naongea kwa sauti ya chini chini wasisikie watu

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,697
Reaction score
7,883
Hivi ile tume ya uchunguzi imetumia bilion ngapi za walipa kodi kwa kipindi cha miezi 5.

Iweje kuna mambo wameshindwa kuchunguza?

Kwa mfano wanaposema matundu yaliyokutwa kwenye miili ya marehemu ni ya vitu vyenye ncha kali kujua hilo wamewapa nafasi wengine kuchunguza?🤣🤣
 
Hivi ile tume ya uchunguzi imetumia bilion ngapi za walipa kodi kwa kipindi cha miezi 5.

Iweje kuna mambo wameshindwa kuchunguza?

Kwa mfano wanaposema matundu yaliyokutwa kwenye miili ya marehemu ni ya vitu vyenye ncha kali kujua hilo wamewapa nafasi wengine kuchunguza?🤣🤣
Waliacha hilo makusudi ili wapewe kazi ya kufanya uchunguzi. Huoni hadi walijipigia debe wao kwa kazi hiyo?
 
Hivi ile tume ya uchunguzi imetumia bilion ngapi za walipa kodi kwa kipindi cha miezi 5.

Iweje kuna mambo wameshindwa kuchunguza?

Kwa mfano wanaposema matundu yaliyokutwa kwenye miili ya marehemu ni ya vitu vyenye ncha kali kujua hilo wamewapa nafasi wengine kuchunguza?🤣🤣
Miili yenyewe wameiona??
 
Hivi ile tume ya uchunguzi imetumia bilion ngapi za walipa kodi kwa kipindi cha miezi 5.

Iweje kuna mambo wameshindwa kuchunguza?

Kwa mfano wanaposema matundu yaliyokutwa kwenye miili ya marehemu ni ya vitu vyenye ncha kali kujua hilo wamewapa nafasi wengine kuchunguza?🤣🤣
 

Attachments

  • FB_IMG_16952708405310080.jpg
    FB_IMG_16952708405310080.jpg
    85.3 KB · Views: 17
Hiyo miili waliyoikuta na matundu ya risasi si ndio miongoni mwa maiti ambazo ndugu wanadai zimepotea. Tume iwaoneshe ndugu wa marehe ili wakazike kwa staha vinginevyo ya kisiwa cha Condo yana ukweli.
 
Back
Top Bottom