Naona uwezekano wa Osama bin Laden kuonekana alikuwa sahihi

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,324
152,136
Kwa mtazamo wangu,nikiangalia sera za Trump kwa kiasi fulani naona ni kama vile zinahalilisha baadhi ya madai ya Osama kuhusu mtazamo wa mataifa ya Ulaya na Marekani juu ya uislamu.

Kwa mfano,Osama na kundi lake waliamini Marekani na mataifa ya Ulaya Magharibi yalikuwa na lengo la kuangamiza uislamu na kwamba mataifa haya yalikuwa against na waisalamu.

Osoma na kundi lake pia walikuwa wanapinga Marekani na Mataifa ya Ulaya(waliyoita makafiri) kuvamia baadhi ya mataifa ya kiarabu kitu ambacho Trump nae anaonekana kukipinga.

Sasa kwa sera hizi za Trump za kupiga marufuku waislamu kutoka mataifa 7 ya kiarabu kuingia Marekani, kukosoa Marekani kujiingiza kijeshi katika katika mataifa ya kiarabu,n.k hatuoni zinaweza kuwafanya baadhi ya watu kuona Osama na kundi lake walikuwa sahihi katika propaganda zao/ kile walichokuwa wanakiamini na kukisimamia katika kutetea uislamu na mataifa ya kiislamu kwa ujumla?
 
Siku waarabu watakapojielewa na kutokubali kufitinishwa ndipo nguvu ya ushawishi ya mataifa ya magharibi itapotea mashariki ya kati.Otherwise kila siku watauana na watapigana kwa kila mmoja kujiona yuko sahihi na anachokifanya anakifanya kwa niaba ya dini na Mungu.
 
Serikali za waarabu ni cowards sana divide and rule, creating chaos ndo inafanya Western powers itawale middle East ila kamwe hawataweza kupandikiza tena chuki Asia
 
Siku waarabu watakapojielewa na kutokubali kufitinishwa ndipo nguvu ya ushawishi ya mataifa ya magharibi itapotea mashariki ya kati.Otherwise kila siku watauana na watapigana kwa kila mmoja kujiona yuko sahihi na anachokifanya anakifanya kwa niaba ya dini na Mungu.
Technology imesha wa cordon waarabu, hata wakijitambua ishakuwa too late.
By 2035 hakuna kiwanda kitaruhusiwa kutengeneza motokaa inayotumia mafuta (petroleum)

Lazima waarabu waje kulima vibarua Igunga.
 
Tatizo la trump ni kufikiri atamaliza ugaidi kwa kuwathibiti waislamu..................

Hakuna mtu yeyote duniani atakayefanikiwa kuthibiti ugadi kwa kuwawekea vikwazo baadhi ya waislamu...............

Ushahidi upo wazi hata kuna baadhi ya walokole walikamatwa wakitaka kujiunga na ISIS.........

Kenya kuna wakikuyu kibao ambao ni wakristo pure walikamatwa kwenye kundi la mungiki wakijivika kofia ya Islamic..........

Mara ngapi USA mtu ambaye ni mkiristo anawafyatulia risasi vijana tena watoto wa shule na kuwaua mwisho wanajisalimisha police............

Vita inaletwa na vitu vitatu,Wauzaji wa silaha,Mpromoko wa maadiri,Viongozi wa dini ya kiislamu ambao wamekubari dini yao iusishwe na ugaidi bila kuchukua hatua........................

Ugaidi ni matokeo ya watu wachache wasiokubaliana na utawala ,uminywaji wa Uhuru wao na viongozi waliopo wenye maamuzi ya mwisho........

Hivyo tutegemee kuongezeka kwa ugaidi kipindi hiki cha Trump..........
 
Jiulize pamoja na kua USA ndo anawagombanisha ila wanalala wanaota visa ya US for good life
 
Trump is always right..
Leo hii Saud Arabia(Taifa la kiislamu) na rafiki mkubwa wa Marekani watauunga mkono uamuzi wa Trump kuwapiga marufuku waislamu kuingia Mrekani?

Leo hii Osama hataonekani alikuwa sahihi na Saud Arabia na baadhi ya mataifa mengine ya kiislamu ndio yalikuwa yanakose kui-support Marekani?
 
'Hawawezi kuacha kuua Mama , dada,kaka zetu na Watoto wetu Mpaka nao wahisi uchungu wa kupoteza Ndugu zao kwa Njia ile ile tunayowapoteza Ndugu zetu.
Dhalimu haachi dhulma kwa kuwa kaona Picha za wadhulumiwa wanataabika Ila kwa kumfikishia machungu kwa kiwango sawa na kile walichotuletea'-Waliyullah Sheikh Usamah bin Muhammad bin Awadh bin Laden
 
Tatizo la trump ni kufikiri atamaliza ugaidi kwa kuwathibiti waislamu..................

Hakuna mtu yeyote duniani atakayefanikiwa kuthibiti ugadi kwa kuwawekea vikwazo baadhi ya waislamu...............

Ushahidi upo wazi hata kuna baadhi ya walokole walikamatwa wakitaka kujiunga na ISIS.........

Kenya kuna wakikuyu kibao ambao ni wakristo pure walikamatwa kwenye kundi la mungiki wakijivika kofia ya Islamic..........

Mara ngapi USA mtu ambaye ni mkiristo anawafyatulia risasi vijana tena watoto wa shule na kuwaua mwisho wanajisalimisha police............

Vita inaletwa na vitu vitatu,Wauzaji wa silaha,Mpromoko wa maadiri,Viongozi wa dini ya kiislamu ambao wamekubari dini yao iusishwe na ugaidi bila kuchukua hatua........................

Ugaidi ni matokeo ya watu wachache wasiokubaliana na utawala ,uminywaji wa Uhuru wao na viongozi waliopo wenye maamuzi ya mwisho........

Hivyo tutegemee kuongezeka kwa ugaidi kipindi hiki cha Trump..........
Na kuna uwezekano mkubwa wa makundi ya kigaidi kuongezeka na hata baadhi ya mataifa ya kiarabu kuanza kufadhili makundi haya kisirisiri iwapo Trump hatakuwa muangalifu katika ku-handle hii issue.
 
Tatizo la trump ni kufikiri atamaliza ugaidi kwa kuwathibiti waislamu..................

Hakuna mtu yeyote duniani atakayefanikiwa kuthibiti ugadi kwa kuwawekea vikwazo baadhi ya waislamu...............

Ushahidi upo wazi hata kuna baadhi ya walokole walikamatwa wakitaka kujiunga na ISIS.........

Kenya kuna wakikuyu kibao ambao ni wakristo pure walikamatwa kwenye kundi la mungiki wakijivika kofia ya Islamic..........

Mara ngapi USA mtu ambaye ni mkiristo anawafyatulia risasi vijana tena watoto wa shule na kuwaua mwisho wanajisalimisha police............

Vita inaletwa na vitu vitatu,Wauzaji wa silaha,Mpromoko wa maadiri,Viongozi wa dini ya kiislamu ambao wamekubari dini yao iusishwe na ugaidi bila kuchukua hatua........................

Ugaidi ni matokeo ya watu wachache wasiokubaliana na utawala ,uminywaji wa Uhuru wao na viongozi waliopo wenye maamuzi ya mwisho........

Hivyo tutegemee kuongezeka kwa ugaidi kipindi hiki cha Trump..........
maadiri=maadili
wamekubari=wamekubali
 
Jiulize pamoja na kua USA ndo anawagombanisha ila wanalala wanaota visa ya US for good life
There are things a fool like you won't understand rabda baada ya kifo ukikaa malaika ikakuonyesha ile unaona ile ilitokea kwasababu hii na hii lakin never hutoelewa hapa duniani kwasababu mpk unakufa utakua umetumia 8% ya 100% aliyokupa mungu swali lako linadhihirisha uwezo wa kufikiri
 
There are things a fool like you won't understand rabda baada ya kifo ukikaa malaika ikakuonyesha ile unaona ile ilitokea kwasababu hii na hii lakin never hutoelewa hapa duniani kwasababu mpk unakufa utakua umetumia 8% ya 100% aliyokupa mungu swali lako linadhihirisha uwezo wa kufikiri
Jina lako linaakisi ujinga wako achilia mbali suruali uliyovaa yenye zeep kwa nyuma
 
There are things a fool like you won't understand rabda baada ya kifo ukikaa malaika ikakuonyesha ile unaona ile ilitokea kwasababu hii na hii lakin never hutoelewa hapa duniani kwasababu mpk unakufa utakua umetumia 8% ya 100% aliyokupa mungu swali lako linadhihirisha uwezo wa kufikiri
Mkuu ukisema 8% ni inatosha sio mpaka uweke ya100%.
 
  • Thanks
Reactions: etb
Tatizo la trump ni kufikiri atamaliza ugaidi kwa kuwathibiti waislamu..................

Hakuna mtu yeyote duniani atakayefanikiwa kuthibiti ugadi kwa kuwawekea vikwazo baadhi ya waislamu...............

Ushahidi upo wazi hata kuna baadhi ya walokole walikamatwa wakitaka kujiunga na ISIS.........

Kenya kuna wakikuyu kibao ambao ni wakristo pure walikamatwa kwenye kundi la mungiki wakijivika kofia ya Islamic..........

Mara ngapi USA mtu ambaye ni mkiristo anawafyatulia risasi vijana tena watoto wa shule na kuwaua mwisho wanajisalimisha police............

Vita inaletwa na vitu vitatu,Wauzaji wa silaha,Mpromoko wa maadiri,Viongozi wa dini ya kiislamu ambao wamekubari dini yao iusishwe na ugaidi bila kuchukua hatua........................

Ugaidi ni matokeo ya watu wachache wasiokubaliana na utawala ,uminywaji wa Uhuru wao na viongozi waliopo wenye maamuzi ya mwisho........

Hivyo tutegemee kuongezeka kwa ugaidi kipindi hiki cha Trump..........
Magaidi wa kiislam huua watu kwa shinikizo la uislam wao, hao mungiki wa kikristo hawakuongozwa na ukristo kuua.

Utawasikia alahuakibaru ndio wanakata kichwa cha kafiri!!!!

Ushawaona wakristo wakitekeleza mauaji kwa jina la yesu????

Common sense itumike vizuri.
 
There are things a fool like you won't understand rabda baada ya kifo ukikaa malaika ikakuonyesha ile unaona ile ilitokea kwasababu hii na hii lakin never hutoelewa hapa duniani kwasababu mpk unakufa utakua umetumia 8% ya 100% aliyokupa mungu swali lako linadhihirisha uwezo wa kufikiri
Mbona umekasirika kuliko nguvu ya maudhi ndani ya swali alilouliza jamaa?
 
Back
Top Bottom