mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Haka ka tabia bwana nimekuwa nako kwa mda mrefu sasa. Hususan mtu akiwa na jina kama la mama yangu, doooo ndio nakaa naye mbali kabisaaaa.
Sijui ni nini aisee
Sijui ni nini aisee
Nkajua nipo mwenyewe aiseeUpo kama mimi kabisa
uzuri mamaangu jina lake ni Unique ni ngumu sana kumpata mtu anaeitwa jina hilo...Sijawahi lisikia toka nakua shule na kote nilikopita. japo ni la malkia.
Ha ha ha hongera aisee,.. sisi ambao mama zetu Wana majina ya USWAZI. Kazi ipouzuri mamaangu jina lake ni Unique ni ngumu sana kumpata mtu anaeitwa jina hilo...Sijawahi lisikia toka nakua shule na kote nilikopita. japo ni la malkia.
"Jacobeth"Anaitwa nan
"Jacobeth"
Ukiskia malkia kinachofuata Ni ELIZABETIuzuri mamaangu jina lake ni Unique ni ngumu sana kumpata mtu anaeitwa jina hilo...Sijawahi lisikia toka nakua shule na kote nilikopita. japo ni la malkia.
Ha ha haaa. Sasa hapo sipo mkuuNi vizuri sana mkuu,cha kufanya Sex na mwenye jina lako.
Ni vizuri sana mkuu,cha kufanya Sex na mwenye jina kama lako.
Cha kuskitisha Dada yako anagegedwa na mtu mwenye jina Kama la babaako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 msije mkamfanya afute hii mada kwahaya majibu.Cha kuskitisha Dada yako anagegedwa na mtu mwenye jina Kama la babaako