Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 313
- 533
Guys
Sifa ya kiongozi wa nchi ni kuwaunganisha wananchi wote pamoja bila kujal dini zao, kabila, rangi wala vimo vyao
Ila kwa kiongozi wetu naona washauri wamemwambia wakatoliki hawakupendi na yeye amejaa kwenye mfumo sasa ameanza kuligawa taifa kidini, ukitaka kuamini hilo pitia comment nyingi zenye majina ya Kiarabu wengi wanampongeza na kumsifu na wengine wameenda mbali wanasema wanampenda na wanavutiwa na speech zake.
Yaani unaona kabisa udini this time around unaenda kushika kasi
Guys hii sio ishara nzuri kwa taifa na nchi kwa ujumla.
Washauri wake wanampoteza vibaya mno
Sifa ya kiongozi wa nchi ni kuwaunganisha wananchi wote pamoja bila kujal dini zao, kabila, rangi wala vimo vyao
Ila kwa kiongozi wetu naona washauri wamemwambia wakatoliki hawakupendi na yeye amejaa kwenye mfumo sasa ameanza kuligawa taifa kidini, ukitaka kuamini hilo pitia comment nyingi zenye majina ya Kiarabu wengi wanampongeza na kumsifu na wengine wameenda mbali wanasema wanampenda na wanavutiwa na speech zake.
Yaani unaona kabisa udini this time around unaenda kushika kasi
Guys hii sio ishara nzuri kwa taifa na nchi kwa ujumla.
Washauri wake wanampoteza vibaya mno