Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Ukishikwa na taharuki unaweza kujikuta umeingia mkenge, kuwa makini.
Hahahahaha lkn na sisi tunawahi kushtukaVyuma baba wanabuni kila njia kuvilainisha
Hahahaha.....bahati mbaya ni kuwa sina hata mtoto wa kusingiziwa. Nimemwambia ampotezee maana hata mimi baba yake nina matatizo mengi tu.mwambie atumie pesa yake kumtibu wewe uko mbali na wakala.
muongezee msg nyingine mwambie umegundua huyo mtoto umebambikiwa kwa hiyo amwache maradhi yamalizane naye.Hahahaha.....bahati mbaya ni kuwa sina hata mtoto wa kusingiziwa. Nimemwambia ampotezee maana hata mimi baba yake nina matatizo mengi tu.
Shida iko hapo, wanajua wazazi wako sensitive sana kwa watoto wao. Na kweli wazazi huwa wanapanic sana.Aisee hilo jambo lilitaka kunipandisha bus
Walituma SMS kama hiyo wakidai mdogo wangu yupo hoi hospital
Mama yake akapaniki akanikimbiza mkuku mkuku nimfuate mwanae shuleni
Nikatafuta tiketi sasa wakati najiandaa na safari, nikapata wazo la kuongea na mkuu wa shule
Mkuu akasema Hana taarifa na nikaongea na muhusika akasema hajaumwa hata mafua!
Hawa watu sijui wanapata wapi details za watu!
Lazima tushtuke tu mbinu zao nyepesi mnoHahahahaha lkn na sisi tunawahi kushtuka
😀😀😀😀😀😀😀😀 mkuu, una hatari sana.muongezee msg nyingine mwambie umegundua huyo mtoto umebambikiwa kwa hiyo amwache maradhi yamalizane naye.
eti ampotezeeHahahaha.....bahati mbaya ni kuwa sina hata mtoto wa kusingiziwa. Nimemwambia ampotezee maana hata mimi baba yake nina matatizo mengi tu.
Hahahaha.....bahati mbaya ni kuwa sina hata mtoto wa kusingiziwa. Nimemwambia ampotezee maana hata mimi baba yake nina matatizo mengi tu.