FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Gelvas-Gervas.Huongozi- Uongozi
Mda- Muda
Juhudi za serikali ya awamu ya tano hizi
Matapeli wengi hata shule ni shida.
Gelvas-Gervas.Huongozi- Uongozi
Mda- Muda
Juhudi za serikali ya awamu ya tano hizi
😀😀😀😀😀Gelvas-Gervas.
Matapeli wengi hata shule ni shida.
Ukishikwa na taharuki unaweza kujikuta umeingia mkenge, kuwa makini.View attachment 941237
Kupata namba za watu simple sana..kama namba zipo public kwenye social media kuna tools kibao za kuextract..Aisee hilo jambo lilitaka kunipandisha bus
Walituma SMS kama hiyo wakidai mdogo wangu yupo hoi hospital
Mama yake akapaniki akanikimbiza mkuku mkuku nimfuate mwanae shuleni
Nikatafuta tiketi sasa wakati najiandaa na safari, nikapata wazo la kuongea na mkuu wa shule
Mkuu akasema Hana taarifa na nikaongea na muhusika akasema hajaumwa hata mafua!
Hawa watu sijui wanapata wapi details za watu!
Gelvas-Gervas.
Matapeli wengi hata shule ni shida.
Kaka kwenye vitabu vya walinzi.Aisee hilo jambo lilitaka kunipandisha bus
Walituma SMS kama hiyo wakidai mdogo wangu yupo hoi hospital
Mama yake akapaniki akanikimbiza mkuku mkuku nimfuate mwanae shuleni
Nikatafuta tiketi sasa wakati najiandaa na safari, nikapata wazo la kuongea na mkuu wa shule
Mkuu akasema Hana taarifa na nikaongea na muhusika akasema hajaumwa hata mafua!
Hawa watu sijui wanapata wapi details za watu!
hahahahhahahhaaHahahaha.....bahati mbaya ni kuwa sina hata mtoto wa kusingiziwa. Nimemwambia ampotezee maana hata mimi baba yake nina matatizo mengi tu.
Kaka kwenye vitabu vya walinzi.
Kupata namba za watu simple sana..kama namba zipo public kwenye social media kuna tools kibao za kuextract..
Kujua kama una mtoto shuleni...wanafanya kubahatisha tu!!
Mimi walinitumia ya namna hiyo, nikawaambia ni watoto watatu shule tofauti, nyie ni wa shule ipi ? Mpaka leo miezi mitatu imepita hawajanijibu, nilifanya hivyo nikiwa na uhakika kwamba hakuna shida kwa mtoto maana shule anayosoma mwanangu kuna Shemeji yangu ni mwalimu hapo.Ukishikwa na taharuki unaweza kujikuta umeingia mkenge, kuwa makini.View attachment 941237
Pole na Hongera kwa kunusurika kuingizwa hasara.Aisee hilo jambo lilitaka kunipandisha bus
Walituma SMS kama hiyo wakidai mdogo wangu yupo hoi hospital
Mama yake akapaniki akanikimbiza mkuku mkuku nimfuate mwanae shuleni
Nikatafuta tiketi sasa wakati najiandaa na safari, nikapata wazo la kuongea na mkuu wa shule
Mkuu akasema Hana taarifa na nikaongea na muhusika akasema hajaumwa hata mafua!
Hawa watu sijui wanapata wapi details za watu!
Mwalimu GelvasiUkishikwa na taharuki unaweza kujikuta umeingia mkenge, kuwa makini.View attachment 941237
Hiyo shule yenye Huongozi! Ni shule aina gani! Labda nawe mzazi uwe ni wa aina hiyo.Ukishikwa na taharuki unaweza kujikuta umeingia mkenge, kuwa makini.View attachment 941237
Kwendraaaaa kapuku wewe walahiHuongozi- Uongozi
Mda- Muda
Juhudi za serikali ya awamu ya tano hizi