Naona kama namtesa . . .

Mwanaume . . endelea kiongozi.
Yeye si kipando..ni binaadamu mwenye hisia na anayehitaji kuengwa. Kwa sababu hiyo ukiwa katika kumi na nane usikurupuke...mwandae na kwa pamoja mpande na kuteremka kwa kasi na mlindimo sawia huku mkishikana kihisia kama ni wawili katika mwili mmoja...na uwe tayari kusubiri wakati mwenzio anavuta kasi, ama kuchapusha hatua unapohisi unaachwa nyuma. Kinyume cha hapo hutakuwa tofauti na mbakaji!
 
be more active,, uwe mbunifu ,, katika hapo ili uweze kumkantroll vizuri and uwe unakula health food kukupa more energy
 
Back
Top Bottom