Eiyer nashukuru kwa ushauri wako.
Ila kumwandaa namwandaa; hata sijabadirika kwa lolote, yeye analolalamika ni kuchoka tu na si kutofurahia tendo.
Atakuwa hafurahii tendo huyo, wanawake tunavopenda wanaume kama wewe wa kuweza kuhold kwa muda mrefu, au wewe unazidisha saaaana ambayo inakuwa si starehe tena ni taaabu tupu[/QUOTE
] Sijui kama nazidisha sana au la! Ila ninachokiona ndo hicho nilokiweka hapa ili niweze kushauliwa. Pili kwa uelewa wangu ni kwamba wanawake wanapenda long game ila si wote.
Ukiwa na gemu refu lazima ujue kulipamba pia sio unapiga mashuti tu golini, wati mwingine danadana za hapa na pale na chenga zinatakiwaAtakuwa hafurahii tendo huyo, wanawake tunavopenda wanaume kama wewe wa kuweza kuhold kwa muda mrefu, au wewe unazidisha saaaana ambayo inakuwa si starehe tena ni taaabu tupu[/QUOTE
] Sijui kama nazidisha sana au la! Ila ninachokiona ndo hicho nilokiweka hapa ili niweze kushauliwa. Pili kwa uelewa wangu ni kwamba wanawake wanapenda long game ila si wote.
Ukiwa na gemu refu lazima ujue kulipamba pia sio unapiga mashuti tu golini, wati mwingine danadana za hapa na pale na chenga zinatakiwa
kumbe sio kukiss tu, hata chenga twawala wazijua weye.....lol.l.....
Lol na wewe umeambiwa ukafundishwe umekimbia kule sasa unataka kujua danadanakumbe sio kukiss tu, hata chenga twawala wazijua weye.....lol.l.....