Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 500
- 3,057
Sawa
Mimi pia ndiyo nawasikia leoNdo nawasikia kwako kwani ndo watu gani hao SNS?
Sky ni Mshkaji fulani humble na hardworker.Wadau najua sio vizuri kumlinganisha Millard na Hawa jamaa wa Simulizi na Sauti (SNS) kwenye upande wa Habari Mitandaoni, kwa Sababu Millard ni Brand Kubwa na ana Wafanyakazi wengi karibia nchi nzima lakini kama ataendelea kwa speed hii ya mwaka 2020 basi naona nafasi yake mwaka 2021 ikichukuliwa na Simulizi na Sauti.
SNS wanatakiwa kuboresha vitu kidogo tu kumfikia Millard na kusogea mbele zaidi.
Ayo kajipush sana kupitia Clouds. Ila huwezi kudharau underdogs, Fredrick Bundala anajua anachokifanya.Ayo ni next level mkuu. Kuanzia kwenye wafanyakazi mpaka vifaa kawekeza haswa.
Ayo kajipush sana kupitia Clouds. Ila huwezi kudharau underdogs, Fredrick Bundala anajua anachokifanya.
Hata kama hawashindaji, suala la ushindani haliepukiki.Kwahiyo wanashindana? Ngozi nyeusi tuna shida sana. Badala ya kuwasapoti wote wafike level za juu zaidi, unatuletea ushambenga wako!
Mkuu soma michango ya wadau utagundua kuna wadau wanawafahamu SNSWanafanya vizuri wapi kama
Sisi wenyewe wadau hatuwafahamu. Labda unawapigia debe humu ili tuanze kuwafuatilia. Mimi siingizwi kwenye mitego ya kitoto kama hii.
Siwajui ila wakitaka kumpita Millard Ayo wapost habari bila kubaguaWadau najua sio vizuri kumlinganisha Millard na Hawa jamaa wa Simulizi na Sauti (SNS) kwenye upande wa Habari Mitandaoni, kwa Sababu Millard ni Brand Kubwa na ana Wafanyakazi wengi karibia nchi nzima lakini kama ataendelea kwa speed hii ya mwaka 2020 basi naona nafasi yake mwaka 2021 ikichukuliwa na Simulizi na Sauti.
SNS wanatakiwa kuboresha vitu kidogo tu kumfikia Millard na kusogea mbele zaidi.