Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,001
- 134,195
Siku kadhaa baada ya CCM kupata mgombea ubunge Chalinze,imeonekana kijana huyu amechafuka chapa chapa na kashfa za ufisadi.Kila kukicha zimekuwa zikiporomoshwa kashfa kubwa na ndogo akihusishwa kijana huyu.Watu waliopewa jukumu kumuuza wanahaha jinsi ya kumsafisha. SWALI:Nani wa kumtawadha huyu mgombea