Naona CCM wanaendelea kuharibu nchi

Naona CCM wanaendelea kuharibu nchi

Polisi wengi wa sasa ni wale wa miaka ya 2000 adi 2010.... Wengi wao wakati huo walifeli form 4,ndo kimbilio lao lilikuwa upolisi au ualimi + ujeshi

Adi hzo product zitoke kwenye system ndo tutapata mfumo mzuri
 
Sikio la kufa halisikii dawa.

Waache wajipalilie kuni kwa moto wa kuwapika wao wenyewe.
 
Tutarajie ukatili na uovu kutoka Kwa watawala Kwa kulazimisha kutawala na kuheshimiwa

Mauaji,utekaji, udikteta, matendo ya uovu na ufisadi wa kutisha vitazidi kuongezeka Kwa kasi
 
VIONGOZI WENGI WA HILI TAIFA NI WAPUMBAVU, POLICE NDIO VICHAA KABISA, WANAJESHI WAPUMBAVU.
 
Na polisi nao wanafanya kazi ya kuharakisha anguko la Samia kwa ufanisi mkubwa mno kiasi kwamba mwenyewe anaona wanamsaidia.
 
Back
Top Bottom