God knows
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 276
- 173
Leo hii nimepitia Central Admission System ya NACTE.
Nimekutana na kitu hiki:
Welcome to Central Admission System for Certificate,Diploma,Higher Diploma and Bachelor Degree for Ordinary Diploma Holders
The System allows you to apply for Admission into Further and Higher Education for academic year 2016/2017.
Available Application Categories:-
- Admission into Certificate/Diploma and Higher Diploma
- Admission into Bachelor Degree Programmes :- Deadline 31/05/2016
Kwa tangazo hili, inamaanisha kwamba NACTE wameanza kudahili wanafunzi wa Certificate, Diploma and Higher Diploma.
Naomba kuuliza kama je, ni vyuo vyote ambavyo vinatoa Certificate, Diploma and Higher Diploma ambavyo unaweza kuombea kupitia NACTE au ni vile vyuo ambavyo vipo under NACTE tu?
Nauliza hivi kwa sababu nimewapigia NACTE kwa namba zao tofauti 5 bila mafanikio.
Baada ya hapo nikawapigia TCU nikajibiwa kwamba ni vyuo vyote Tanzania whether vipo chini ya NACTE au TCU. Aliyenijibu kutoka TCU sina imani naye kwa sababu alikuwa anababaika wakati namuuliza maswali. Inaonekana kama hana taarifa sahihi.
Wadau mliopo kwenye Admissions Offices vyuo mbali mbali au yeyote mwenye uelewa wa hili, tafadhari naomba taarifa sahihi.
Nazihitaji taarifa hizi mno lakini nimekosa kwa kuzipata.
Nimekutana na kitu hiki:
Welcome to Central Admission System for Certificate,Diploma,Higher Diploma and Bachelor Degree for Ordinary Diploma Holders
The System allows you to apply for Admission into Further and Higher Education for academic year 2016/2017.
Available Application Categories:-
- Admission into Certificate/Diploma and Higher Diploma
- Admission into Bachelor Degree Programmes :- Deadline 31/05/2016
Kwa tangazo hili, inamaanisha kwamba NACTE wameanza kudahili wanafunzi wa Certificate, Diploma and Higher Diploma.
Naomba kuuliza kama je, ni vyuo vyote ambavyo vinatoa Certificate, Diploma and Higher Diploma ambavyo unaweza kuombea kupitia NACTE au ni vile vyuo ambavyo vipo under NACTE tu?
Nauliza hivi kwa sababu nimewapigia NACTE kwa namba zao tofauti 5 bila mafanikio.
Baada ya hapo nikawapigia TCU nikajibiwa kwamba ni vyuo vyote Tanzania whether vipo chini ya NACTE au TCU. Aliyenijibu kutoka TCU sina imani naye kwa sababu alikuwa anababaika wakati namuuliza maswali. Inaonekana kama hana taarifa sahihi.
Wadau mliopo kwenye Admissions Offices vyuo mbali mbali au yeyote mwenye uelewa wa hili, tafadhari naomba taarifa sahihi.
Nazihitaji taarifa hizi mno lakini nimekosa kwa kuzipata.