thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,941
- 1,844
Habarini wanajamvi,
Bila kupoteza wakti niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Baada ya harakati za kuomba ufadhili wa ada kwa masomo ya diploma pale DIT kugonga Mwamba sasa nawaza kwenda kurudia mtihani wa advance kama plan B,
Masomo ni PCM,olevel nilikuwa na div-one point 17,adv niliambulia div-three point 15 yan EEE flat,je kwa wenye ufahamu wa hili nikitusua nikawapigia one advance nitapata mkopo kweli?
Na kituo gani bora kufanya masomo haya kwa Dar es salaam,nisome kwa mtindo gani nipasue mana nina uchu mnoo pia itanigharimu kiasi gani na muda gani kama resister?
Naombeni munishauri kwa dhati ya moyo mana naamini humu ndani nyote ni GTs.
Bila kupoteza wakti niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Baada ya harakati za kuomba ufadhili wa ada kwa masomo ya diploma pale DIT kugonga Mwamba sasa nawaza kwenda kurudia mtihani wa advance kama plan B,
Masomo ni PCM,olevel nilikuwa na div-one point 17,adv niliambulia div-three point 15 yan EEE flat,je kwa wenye ufahamu wa hili nikitusua nikawapigia one advance nitapata mkopo kweli?
Na kituo gani bora kufanya masomo haya kwa Dar es salaam,nisome kwa mtindo gani nipasue mana nina uchu mnoo pia itanigharimu kiasi gani na muda gani kama resister?
Naombeni munishauri kwa dhati ya moyo mana naamini humu ndani nyote ni GTs.