Naombeni ushauri

wida

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
247
Reaction score
40
Kuna mpenzi wangu ambaye nampenda sana ambaye nina kama mwaka1 hivi nipo nae anatabia poa tu lakini hivi karibuni kama 3week nikimpigia simu kama sa 5-6 nambiwa inatumika.

Then nikipiga zaid inakuwa haipatikani nikawa mpole kusuluisha yakaisha sasa tangu hapo anipigii simu hadi nimpigie, anitumii text had nimtumie.

Nahitaji ushari wenu nimfanye nini, nitumie njia gani naitaj furaha katika pendo langu.
 
Mmmmmmh.....wewe ni mwanaume ama mwanamke....nianzie hapo kwanza mkuu
 
Ntoto wa kike hupigiwa simu. Na wewe usimpigie, halafu tuone.
 
kwa kifupi kuna uwezekano mkubwa kuwa umetaftiwa mchepuko. Fanya mkakati wa kuconfirm hilo kwanza alafu ndo ttakwambia cha kufanya
 
Hapo huna chako tena maam.fanya yako tu ,mamake ukiendelea kumuuliza cjui kumfata kwako ndo ata thibitisha kabsaa kua unampenda ili azdi kukunyanyasa
 
Kwanza pata taarifa kutoka kwake kwa nini mawasiliano yake ya simu yamerudi kuwa analojia badala ya dijitali,halafu fanya uamuzi.
 
lala nae for a 5 days mfululizo na simu zisizimwe...badilishananeni simu..UKIKAMILISHA hili tujuze nani zaide WEWE ama MUCHEPUKO?
 

Shule kwanza..Wanawake wapo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…