naombeni ushauri

naombeni ushauri

Mmmh ni urafiki tu, au kuna la ziada?
yani mtu tu anakupotezea unaumia Roho, na bado unatafuta namna ya kujiweka kwake?
hivi haya mahaba ya hivi wenzangu mnayatoa wapi?
 
inawezekana yupo kwenye mahusiano mengine mazito ama ndoa kabisa,kwan urafiki wenu ulikua ni wa kufa na kuzikana.
 
We miaka miwili yote ulitegemea akusubiri wakati hamna mawasiliano huyo yuko na mtu mwingine,na unataka kurudiana naye kakuambia yuko single? je wewe kwa miaka hiyo uko single au unataka mechi ya marudiano?
 
Dah watu tuna mioyo tofauti sana,labda ulivyompigia simu alikua ana stress ama alikua busy,
jaribu kumpigia muda mwingine kisha uumulize kinaga ubaga kwa nini anataka kukupotezea?
Usisahau kumkumbusha nyakati mlizopitia.....
 
Dah watu tuna mioyo tofauti sana,labda ulivyompigia simu alikua ana stress ama alikua busy,
jaribu kumpigia muda mwingine kisha uumulize kinaga ubaga kwa nini anataka kukupotezea?
Usisahau kumkumbusha nyakati mlizopitia.....

k dia asante ntafanya hivyo
 
Absence makes the heart grow fonder..
 
inawezekana yupo kwenye mahusiano mengine mazito ama ndoa kabisa,kwan urafiki wenu ulikua ni wa kufa na kuzikana.

Maybe yuko a class apart kwa sasa.. anahofia lijamaa linataka kuharibu mambo.
 
Hakuna Uwezekano wa kutafuta marafiki wengine ama ni huyo tu

Wakati mwingine ni bora kuwa na marafiki waliokufahamu na kukuthamini wakati huna kitu mkasaidiana kwa shida na raha kuliko wale marafiki uliokutana nao tayari ukiwa somebody kwenye jamii maana itakuwa vigumu kujua yupi ni rafiki wa kweli katika hawa uliokutana nao ukiwa na mafanikio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom