au mmekua mkigombana kwa muda mrefu sana, yaani mikwaruzo ya mara kwa mara, hupunguza upendo, na feelings ni huo upendo au mapenzi kwa maana nyingine. katika process ya kugombana mayb kampata mtu ambaye anamjali,hawagombani yupo kwa ajili yake. wakati ana do na wewe kurudisha hisia kwako wakati moyo wake umehama ni kazi nyingine tena, ndio anachukua dk 45 zote hizo kujaribu kutoka kule kurudi kwako, au avute hisia za yule ili kuwa wet kwako! jaribu kumchunguza kama mpango wa kando unahusika, yaweza kuwa sababu, ol in ol, talk to her ni mke wako, n TALKING is the best weapon to solve issues in marriages, ol the best na pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.