Nawatoto wawili, hebu tumpe ushauri mujarabu laasivyo atakujafanywa mdangaji. Kwauchumi huu, utakubali uletewe watoto wawili au mama awaache wanae
Mrejesho upoje mkuuuNaishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Pole sana mdada hakuna anaeweza kukushauri kisa mahusiano yako tungejua chanzo cha makutano yako na yeye labda kama mlikutana bar inamaana nivitu ushavizoea iweje Leo vikuchoshe angali bado unauhitaji nae naomba nikushauri kaanae chini muyamalize vinginevyo mpk apigwe na tukio zito ndipo ataacha pombe mshaurianeNaishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
We unashauri ujinga hiyo ndoa kisheria wanawatoto ukumbuke😄Hapa huwezi kupata msaada wowote. Sana sana wanasaikolojia wanasema ukizungumza tatizo lako unajisikia nafuu. Ndiyo ulichofanya. Huo ni mzigo wa gunia la misumari. Kimbia haraka sana.
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.
Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
Sio kweli banaHapo hujaolewa una ng'ang'ania kwa mtu, ungeolewa je..?
Halafu ukute wewe ndio chanzo wa yote... Jirekebishe sikuzote ukiona mwenzako anashida ujue umechangia ktk hizo shida...
Ila na wewe ulijchinganya...Tupo tunakaa kwao mamayake anamjua mwanae na hana cha kumfanya anatukana watu anamwacha tu hawezi mfukuza ndo mwanae na apo ndo kwao me naona nijiengue tu
NAKAZIA SIO KWELISio kweli bana
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.
Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
Pole sanaNaishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo