Naombeni ushauri

😂😂😂
 
umetisha mkuu
 

Kizombi zombi
 
Mie huwa naamini matatizo katika ndoa 98% yanachangiwa na wanawake-hii story ni ya upande mmoja but mie naamini wewe ndio tatizo.
 
Haya ndo madhara ya kuona tabia ndogo ndogo tunajipa moyo atabadilika kumbe huko ndani ndo yanaibuka zaidi
Polesana dear kuwa makin na afya Yako maana utakuwa unaharibika kisaikilojia Kwa stress na kukosaraha
 
Wakati unaanza kuishi naye haukujua tabia yake ya ulevi. Haukumchunguza? Au uliangalia ni jamaa mwenye maisha yake kama mnavyosemaga?
 
Wanaume wa hivyo ukiondoka anadata. Jipe likizo ili ajitafakari. Ila uwe tayari kwa lolote anaweza asishtuke ukiondoka.
Na ukweli ni kwamba hatabadilika so akili kichwani mwako.
 
Baada ya miez miwil watakuwa wanafatana bar😂😂
 
Ukiondoka mkuu uwe na uhakika hautapenda tena mkuu , kwa sababu hakuna aliye kamilika .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…