Niko DM kwako mkuuJaman naomba msaada wa huu uzi
SawaNimejitolea kwenye NGO moja inadeal na usawa wa kijinsia, wameniambia niandae vitu navyohitaji kujifunza kutoka kwao lakini mimi kwa kweli sina experience yoyote naomba kwa anaejua maswala ya NGOs anisaidie niandike vitu gani vya muhimu kujifunza.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.
Yaan umejitolea nabado wanakupa kazi ngumu hvyo jewakikuajiri siwataomba roho yakoNimejitolea kwenye NGO moja inadeal na usawa wa kijinsia, wameniambia niandae vitu navyohitaji kujifunza kutoka kwao lakini mimi kwa kweli sina experience yoyote naomba kwa anaejua maswala ya NGOs anisaidie niandike vitu gani vya muhimu kujifunza.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.
Upoo mkoa gan KwanzaNimejitolea kwenye NGO moja inadeal na usawa wa kijinsia, wameniambia niandae vitu navyohitaji kujifunza kutoka kwao lakini mimi kwa kweli sina experience yoyote naomba kwa anaejua maswala ya NGOs anisaidie niandike vitu gani vya muhimu kujifunza.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.
Nimejitolea kwenye NGO moja inadeal na usawa wa kijinsia, wameniambia niandae vitu navyohitaji kujifunza kutoka kwao lakini mimi kwa kweli sina experience yoyote naomba kwa anaejua maswala ya NGOs anisaidie niandike vitu gani vya muhimu kujifunza.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.
Sasa hzo objective za research zinaingia vp huku bromkuu una degree na hilo jambo linakupa shida?
ulipokuwa chuo hukuwahi kufanya research?
zile objectives uliandika mwenyewe au uliandikiwa?
Vipi kuhusu field hukuwahi kufanya? nini zilikuwa objectives zako za kujifunza
they say "after school, education is what you remember" it seems your education is lacking somewhere!
samahani kama nitakukwaza ila huo ndio ukweli
turudi kwenye meza ya kuchorea tena!!!!
Sasa hzo objective za research zinaingia vp huku bro
Anaejua amsaidie jamanNimejitolea kwenye NGO moja inadeal na usawa wa kijinsia, wameniambia niandae vitu navyohitaji kujifunza kutoka kwao lakini mimi kwa kweli sina experience yoyote naomba kwa anaejua maswala ya NGOs anisaidie niandike vitu gani vya muhimu kujifunza.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.