Nimeachana na mpenzi wangu lakini nilifahamika kwao kwa sasa nipo shule nimeondoka bila kuwaaga wazazi wake na nilishawazoesha nikiondok nawaambia nikirudi nawaambia.
Nimerudi sasa nifanyeje jamani mama ake ananitafutag ata sasa kwa sim japo sina mahusiano na mwanae japo mwanae nina mawasiliano nae sio ya kimapenzi tunachati kawaida tu tuna mtoto mmoja.
Had leo nipo shule mama ake ajui kama nimeondok kila nikitaka kumpigia cim nasita kumtaarif kama nimeondok
Nimerudi sasa nifanyeje jamani mama ake ananitafutag ata sasa kwa sim japo sina mahusiano na mwanae japo mwanae nina mawasiliano nae sio ya kimapenzi tunachati kawaida tu tuna mtoto mmoja.
Had leo nipo shule mama ake ajui kama nimeondok kila nikitaka kumpigia cim nasita kumtaarif kama nimeondok