Crisheb956
Member
- Dec 26, 2018
- 21
- 13
Mimi ni graduate wa BIT(Bachelor in Information Technology). Nahitaji kujiendeleza ili niwe valuable sasa au hata apo badae.
Na acknowledge uwepo wa professionals humu ndani na pia wenye experience na kazi za hapa na nje ya nchi ni wapi ambapo nikijiendeleza nitakua valuable asset ndani au hata nje ya nchi ???
Naombeni Ushauri nijiendeleze kivip???
1. Kama kusoma nijiendeleze sehemu gani ambazo zitaniwezesha kua valuable???
2. Kwa upande wa pili nifanye nini ili mwisho niweze kufikia lengo langu la kua valuable asset. Coz ajira ni ngumu naamini hiyo ni challenge kwangu kua Mgumu zaidi
Nashukuru in advance kwa msaada wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na acknowledge uwepo wa professionals humu ndani na pia wenye experience na kazi za hapa na nje ya nchi ni wapi ambapo nikijiendeleza nitakua valuable asset ndani au hata nje ya nchi ???
Naombeni Ushauri nijiendeleze kivip???
1. Kama kusoma nijiendeleze sehemu gani ambazo zitaniwezesha kua valuable???
2. Kwa upande wa pili nifanye nini ili mwisho niweze kufikia lengo langu la kua valuable asset. Coz ajira ni ngumu naamini hiyo ni challenge kwangu kua Mgumu zaidi
Nashukuru in advance kwa msaada wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app