Wana Jf naombeni ushauri.
Je ni vibaya kutolewa mahari muda huu harafu harusi ikafuata baadae, labda mwaka kesho kutwa hivi ndio maandalizi ya harusi yawepo?
??????Dada Dena, sababu ni kwamba mwenzangu kazini kwake mkataba wa kuwa single unaisha mwakani that why tunataka kufanya hivyo.
Wana Jf naombeni ushauri.
Je ni vibaya kutolewa mahari muda huu harafu harusi ikafuata baadae, labda mwaka kesho kutwa hivi ndio maandalizi ya harusi yawepo?
Dada Dena, sababu ni kwamba mwenzangu kazini kwake mkataba wa kuwa single unaisha mwakani that why tunataka kufanya hivyo.
Duh!! Aisee hiyo kali kwa kweli??????
Hivi niko dunia gani vile?
Kuna mikataba ya kuwa single?oh my
??????
Hivi niko dunia gani vile?
Kuna mikataba ya kuwa single?oh my
Nikweli Chapa Nalo Jr wala hauja kosea. Nimmoja wapo katika hayo makundi.
Dada Dena, sababu ni kwamba mwenzangu kazini kwake mkataba wa kuwa single unaisha mwakani that why tunataka kufanya hivyo.
Usijari kwahilo Chapa Nalo Jr hiyo nilazima.lakini haizuii kuendelea kufurahia ile kitu,endelea kula raha ukisubiri taratibu za kisheria
Ni wale wanajeshi na polisi kama sikosei
Kama ni hivyo sawa haina shida, analipa tu mwanzoni hukuweka sababu za msingi mamy
Dada Dena, sababu ni kwamba mwenzangu kazini kwake mkataba wa kuwa single unaisha mwakani that why tunataka kufanya hivyo.