Naombeni ushauri wenu wanaJF

Aug 9, 2018
95
293
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020. Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je? Kati ya Bachelor in Information Technology na Bachelor in Marketing ipi inauwanja mpana katika kujiajiri hapa Bongo?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…