5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
habari za skukuu ndugu zangu,
Moja kwa moja kwenye mada
Kwa sasa niko morogoro, nilikuja morogoro mwezi wa tisa mwaka jana,
Kama kawaida nilienda kanisani na siku hiyo ikipofika wasaa wa wageni kujitambulisha nikasimama nikajitambulisha na baada ya ibada nikaacha namba zangu za simu kwa viongozi wa kanisa(walokole huu utaratibu nafiri mnauelewa)
Basi zkapita kama siku mbili tatu, sikumoja usiku kama saa tatu ikaingia meseji kwenye simu yangu
MAMBO?
nikajibu
POA NANI?
akanijibu samahani nimekosea namba?
Basi mimi nikamuuliza kwani ww ni nani na unamtafuta nani?
akaanza kunitumia sms za utani utani mpaka nikaona kabisa huyu mtu ananijua ila ananichezea tu mi nikampotezea,
Basi kesho yake asubuhi nikaona meseji
TOKA NJE UNIONE, NIKO HAPA NJE KWAKO,
Mjeda nikafunua pazia ya dirishani kumchungulia kwanza kabla ya kutoka nje,
Lahaura 💆
Nikamuona ni yule binti mkali kabisa nilimuona kanisani na alikua anaonekana mpole sana sikutegemea kama angekua na confidence ya kunifuata mpaka kwangu,
Basi mjeda nikajikoki pale nikatoka nje kwenda kusaliniana nae
Na hapo safari yetu ya mapenzi ikaanza
Ndani ya wiki moja nilimgegeda siku sita,
Lakini cha ajabu siku moja nilishika simu yake aisee kwa haraka haraka niligungua yuko na maboyfriend si chini ya watano,
Kwakweli nilifadhaika sana kwani sikutegemea kabisa ukizingatia tayari nilikua nimeshampenda sana,
Na kikubwa zaidi kanisani kila siku yumo, mafundisho yumo,
Dah ilibidi nijifanye kama sijui nikaenda nae hvo hvo
Yeye ananipenda sana na mara nyingi anakuja kwangu ananipikia kaz anafanya na anarudi kwao,
Kiukweli mimi nimeshampenda na satak kumuacha na tumeshahaidiana kuoana
Sasa cha ajabu leo nilikua nae na nimeshiriki nae tendo la.ndoa lakini baada ya kumaliza akapogiwa simu na mtu aliyekua amemsevu ONLY YOU
alipopokea hyo simu, akamuambia ampigie baadae
Niligombezana nae juu ya hyo simu mpaka tumekorofishana,
Na mpaka sasa sijamtafuta tena, wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje na ukizingatia huyu binti ninampenda mno,
Je, nimuache kimyakimya au nimuite nimkalishe chini nizungumze nae?
Najua wengi mlioshakutana na hali hii hususa ni pale mtu unampenda sana na anakufanyia kosa kama hilo je, unachukua hatua gani,
Naomba nijibu kama wewe ndo ungekua mimi ungechukua uamuzi gani?
Moja kwa moja kwenye mada
Kwa sasa niko morogoro, nilikuja morogoro mwezi wa tisa mwaka jana,
Kama kawaida nilienda kanisani na siku hiyo ikipofika wasaa wa wageni kujitambulisha nikasimama nikajitambulisha na baada ya ibada nikaacha namba zangu za simu kwa viongozi wa kanisa(walokole huu utaratibu nafiri mnauelewa)
Basi zkapita kama siku mbili tatu, sikumoja usiku kama saa tatu ikaingia meseji kwenye simu yangu
MAMBO?
nikajibu
POA NANI?
akanijibu samahani nimekosea namba?
Basi mimi nikamuuliza kwani ww ni nani na unamtafuta nani?
akaanza kunitumia sms za utani utani mpaka nikaona kabisa huyu mtu ananijua ila ananichezea tu mi nikampotezea,
Basi kesho yake asubuhi nikaona meseji
TOKA NJE UNIONE, NIKO HAPA NJE KWAKO,
Mjeda nikafunua pazia ya dirishani kumchungulia kwanza kabla ya kutoka nje,
Lahaura 💆
Nikamuona ni yule binti mkali kabisa nilimuona kanisani na alikua anaonekana mpole sana sikutegemea kama angekua na confidence ya kunifuata mpaka kwangu,
Basi mjeda nikajikoki pale nikatoka nje kwenda kusaliniana nae
Na hapo safari yetu ya mapenzi ikaanza
Ndani ya wiki moja nilimgegeda siku sita,
Lakini cha ajabu siku moja nilishika simu yake aisee kwa haraka haraka niligungua yuko na maboyfriend si chini ya watano,
Kwakweli nilifadhaika sana kwani sikutegemea kabisa ukizingatia tayari nilikua nimeshampenda sana,
Na kikubwa zaidi kanisani kila siku yumo, mafundisho yumo,
Dah ilibidi nijifanye kama sijui nikaenda nae hvo hvo
Yeye ananipenda sana na mara nyingi anakuja kwangu ananipikia kaz anafanya na anarudi kwao,
Kiukweli mimi nimeshampenda na satak kumuacha na tumeshahaidiana kuoana
Sasa cha ajabu leo nilikua nae na nimeshiriki nae tendo la.ndoa lakini baada ya kumaliza akapogiwa simu na mtu aliyekua amemsevu ONLY YOU
alipopokea hyo simu, akamuambia ampigie baadae
Niligombezana nae juu ya hyo simu mpaka tumekorofishana,
Na mpaka sasa sijamtafuta tena, wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje na ukizingatia huyu binti ninampenda mno,
Je, nimuache kimyakimya au nimuite nimkalishe chini nizungumze nae?
Najua wengi mlioshakutana na hali hii hususa ni pale mtu unampenda sana na anakufanyia kosa kama hilo je, unachukua hatua gani,
Naomba nijibu kama wewe ndo ungekua mimi ungechukua uamuzi gani?