Naombeni ushauri wanaume wenzangu

bushland

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
7,015
4,984
Sina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.

Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.

Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .

Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.

Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri
 
Sina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.

Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.

Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .

Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.

Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri
Pole sana mkuu,, jaribu kwenda kwao na itisha kikao kidogo cha family ili kupata shuruhisho,,na pia ukienda kwao utajua mengi,,...
 
Wanataka kutimiza mila hao,kwanini akuache na shemeji!??na kwann harudi mpka upige makelele!??kwann shemeji akuambie mwache mpaka atakapojisikia yeye!??....kuna kitu si cha kawaida kinaendelea fanya uchunguzi yakinifu.
Hivi kumbe kuna mila hizo moshi
 
Sina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.

Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.

Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .

Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.

Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri

kula MDOGO WAKE HUYO MBONA HUJIONGEZI..
 
Sina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.

Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.

Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .

Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.

Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri


Ila hawa wanawake wa Kichaga hawaishiwi Skendo Mhhh na Humu Ndio wamejaa teleeeeee
 
Sina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.

Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.

Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .

Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.

Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri
Pole ,
ndio maana dini yangu (islam)inaruhusu wake 4!
KWANI huko moshi ANAFANYA BIASHARA gani uliyomruhusu?KAMA ni wazazi wake ndio wanamtaka aende kukaa ,je uliwahi kuwakumbusha kuwa wewe ulioa mke kwao?
 
Back
Top Bottom