Naombeni ushauri wa nini cha kufanya

Naombeni ushauri wa nini cha kufanya

Naam bibie, inabidi tuanze kufundishana uanaume ni nini ? Huyo bado yupo kwenye makosa na analaumiwa kwa kufanya kosa hilo, sababu katika sifa za Mwanaume ni kuwa mkweli na kuwaonea huruma na kuwalinda wale ambao ni dhaifu na katika wadhaifu ni WANAWAKE.
Sio wewe uliesema natunga hizi scenarios huwa hazipo?

Sijui huwa mnabishaga nini au mnajivesha nguo kilazima

Af unavosema najumuisha jambo kuwa la wote. Mbona kule ulikua una support kwamba wanawake wanaofanya kazi ni wajeuri na wabishi huoni kama ulijumuisha wote?

Nataka niwafundishe kitu pia kwamba wanaume msijione nyinyi ni wakamilifu na kwamba eti chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika ni wanawake tu sio kweli. Kwenye scenario kama hii mwanaume mwenzenu kapuyanga ila kwa namna yoyote ile mnatamani kusema mwanamke wa ndoa ndo amefanya mwanamme kachepuka.. BADILIKENI
 
Mengi uliyaongea hapo me sijawahi kukutana nayo ndo maana sina cha kuongea. Mimi kama umenotice napenda kusoma na kusikiliza zaidi kuliko kuongea na kubishana na mambo ambayo sina exposure nayo.

Pili, me sikuwa na shida na baby mamas wangu wote wawili, ni kwamba tulipeana mimba tukiwa wadogo sana, just immediately after tumemaliza vyuo, nilikuwa wa moto sana enzi hizo , haha( kidding). Sababu ya kwanini sikuwaoa ni kwamba mmoja alienda kusoma Masters Perth Australia after kujifungua na familia yake haikuwa tayari nimuoe by then, ukichanganya na fact kwamba hatukuwa tumejipata tusingeweza kulazimisha. Huyo wa pili wakati na mimi naenda Texas kusoma, nilimuacha na ujauzito, akajifungua salama then na yeye akaenda Canada kutafuta maisha kama 2 years after mimi kuondoka, yupo huko mpaka leo, alishapata resident permit kwahyo hana mpango wa kurudi huku.

Niliporudi nyumbani after i was done na life la ughaibuni, wote hawakuwepo bongo na nilikuwa nataka kuoa kwa muda huo. Ndo nikadondokea kwa huyu malkia wa moyo wangu. Na sijui kwanini lakini baby mamas wangu wote hakuna aliyeolewa mpaka leo.
Swali linarudi hapa. Umeelewa kwanini nilikua nakinzana na wanaume wengi kwenye hii mada ambayo nime screenshot comment yako?

Wanaume mnapambania sana wanawake wasifanye kazi ili muwaumize na wasiwe na pa kwenda. Huwa mnaenda kuwaachisha kazi watoto wa watu, mnawazalisha then mnaenda kuzalisha na michepuko ukijua kabisa huyu mwanamke wa ndoa ulishammaliza nguvu hana pa kwenda. Mnadhani huwa wanapenda kusikia mume kazaa na mchepuko?

Na ndo maana narudi tena kwenye point yangu, acheni wanawake wafanye kazi. Wanaume mna tabia ya kubadilika haraka sana. Ila mkishajua mwanamke ana uwezo wa kupambana huwa mna adabu nao na hamfanyi ujinga kibabe.

Kama scenario ya huu uzi huyu jamaa ni mshenzi. Unakuta mwanamke kamtumia kupata nae mali na bado anataka alivyochepuka mwanamke abaki just because he is the man. Yani ukinikuta sehemu napopoa mada za kupinga wanawake kujishughulisha usije uka quote comment yangu kabisa huwa najua natetea nini. Mnawashusha wanawake kwa kusema wao kufanya kazi ni kushindana na wanaume sijui 50/50. Acha mwanamke afanye kazi ili ukitokea ujinga kama huu hata akiondoka ajue anaenda kuanzia wapi. Most men are selfish

Badilikeni
IMG_7149.jpeg
 
Swali linarudi hapa. Umeelewa kwanini nilikua nakinzana na wanaume wengi kwenye hii mada ambayo nime screenshot comment yako?

Wanaume mnapambania sana wanawake wasifanye kazi ili muwaumize na wasiwe na pa kwenda. Huwa mnaenda kuwaachisha kazi watoto wa watu, mnawazalisha then mnaenda kuzalisha na michepuko ukijua kabisa huyu mwanamke wa ndoa ulishammaliza nguvu hana pa kwenda. Mnadhani huwa wanapenda kusikia mume kazaa na mchepuko?

Na ndo maana narudi tena kwenye point yangu, acheni wanawake wafanye kazi. Wanaume mna tabia ya kubadilika haraka sana. Ila mkishajua mwanamke ana uwezo wa kupambana huwa mna adabu nao na hamfanyi ujinga kibabe.

Kama scenario ya huu uzi huyu jamaa ni mshenzi. Unakuta mwanamke kamtumia kupata nae mali na bado anataka alivyochepuka mwanamke abaki just because he is the man. Yani ukinikuta sehemu napopoa mada za kupinga wanawake kujishughulisha usije uka quote comment yangu kabisa huwa najua natetea nini. Mnawashusha wanawake kwa kusema wao kufanya kazi ni kushindana na wanaume sijui 50/50. Acha mwanamke afanye kazi ili ukitokea ujinga kama huu hata akiondoka ajue anaenda kuanzia wapi. Most men are selfish

BadilikeniView attachment 3004303
Kwani aliyekwambia kwamba nikimuachisha kazi mwanamke wangu na badae nika cheat, then mwanamke wangu akaamua kuondoka nitashindwa kumuhudumia ni nani..?
Mbona una mawazo ya kimaskini hivyo..? Me unanikwaza sana unavyowaza kimaskini kiasi hicho.

Kama ni mke wangu, akiondoka, anaweza dai taraka tuka split mali of which pa kuanzia atapata. Na kama hatuna ndoa, i can as well provide for her, anything she say ambacho kipo kwenye uwezo wangu na yeye anajua kabisa kwamba i can get it for her ili apate kwa kuanzia. Mbona hizi hela za kumpa mtu ili akaanzie maisha mkishindwana huwa sio hata nyingi na watu huwa wanatoa so long as unajielewa wapi umetoka na mtu na wapi unaenda.

Tunawajengea nyumba michepuko, na kuwaanzishia biashara za capital hadi 50M, ndo tuje kushindwa kuwapa wake zetu kisa tumeachana..? Impossible. Mwanaume anayejielewa ku provide kwa mwanamke wake sio jambo kubwa na la kutisha kama wewe unavyoliweka.

Me nakushauri, badilisha wanaume ambao unakutana nao kwenye maisha yako ya kila siku. Inaelekea wewe unakutana na hawa wagaigai tu na ndo una draw conclusion zako huko. Real men tupo, hatuna shida yeyote na familia zetu na wake zetu wana enjoy.

Me kinachofanya nisipende sana ku engage na wewe ni hizo negativity zako ulizoziweka kichwani. Kwa akili hizo, watu unaokaa nao wanapata shida sana. Full of negativity, weka hata namba ya simu tukuwekee hela ya chai upunguze makasiriko.
 
Kwani aliyekwambia kwamba nikimuachisha kazi mwanamke wangu na badae nika cheat, then mwanamke wangu akaamua kuondoka nitashindwa kumuhudumia ni nani..?
Mbona una mawazo ya kimaskini hivyo..? Me unanikwaza sana unavyowaza kimaskini kiasi hicho.

Kama ni mke wangu, akiondoka, anaweza dai taraka tuka split mali of which pa kuanzia atapata. Na kama hatuna ndoa, i can as well provide for her, anything she say ambacho kipo kwenye uwezo wangu na yeye anajua kabisa kwamba i can get it for her ili apate kwa kuanzia. Mbona hizi hela za kumpa mtu ili akaanzie maisha mkishindwana huwa sio hata nyingi na watu huwa wanatoa so long as unajielewa wapi umetoka na mtu na wapi unaenda.

Tunawajengea nyumba michepuko, na kuwaanzishia biashara za capital hadi 50M, ndo tuje kushindwa kuwapa wake zetu kisa tumeachana..? Impossible. Mwanaume anayejielewa ku provide kwa mwanamke wake sio jambo kubwa na la kutisha kama wewe unavyoliweka.

Me nakushauri, badilisha wanaume ambao unakutana nao kwenye maisha yako ya kila siku. Inaelekea wewe unakutana na hawa wagaigai tu na ndo una draw conclusion zako huko. Real men tupo, hatuna shida yeyote na familia zetu na wake zetu wana enjoy.

Me kinachofanya nisipende sana ku engage na wewe ni hizo negativity zako ulizoziweka kichwani. Kwa akili hizo, watu unaokaa nao wanapata shida sana. Full of negativity, weka hata namba ya simu tukuwekee hela ya chai upunguze makasiriko.
Yani we hazijatimia kichwani kwako. Unaandika nadharia.
Nimekwambia tu. Ukinikuta napopoana na watu kuhusu issue za wanawake humu usije kuni quote.

Sina njaa ya hela kima we nna uwezo wa kukulisha wewe mkeo na hizo koo zenu zote na nisihisi nimetoa hela. Ndo maana nasema acheni wanawake wafanye kazi
 
Yani we hazijatimia kichwani kwako. Unaandika nadharia.
Nimekwambia tu. Ukinikuta napopoana na watu kuhusu issue za wanawake humu usije kuni quote.

Sina njaa ya hela kima we nna uwezo wa kukulisha wewe mkeo na hizo koo zenu zote na nisihisi nimetoa hela. Ndo maana nasema acheni wanawake wafanye kazi
Wewe huna hela, ungekuwa nazo usingejaza negativity kichwani. Character development, mixer umaskini ndo unawapelekea kujifanya mmekuwa feminist uchwara. Mwanaume anafanya kile anachojiskia so long as kipo ndani ya mfuko wake. Na ukweli ndo huko hivyo. Nyie mnaopinga bakini na makasiriko yenu. Siku ukiwa na shida ya hela nitafute nikusaidie ili angalau na wewe uweke historia ya kukutana na wanaume wa tofauti na hao unaokutana nao wewe.
 
Wewe huna hela, ungekuwa nazo usingejaza negativity kichwani. Character development, mixer umaskini ndo unawapelekea kujifanya mmekuwa feminist uchwara. Mwanaume anafanya kile anachojiskia so long as kipo ndani ya mfuko wake. Na ukweli ndo huko hivyo. Nyie mnaopinga bakini na makasiriko yenu. Siku ukiwa na shida ya hela nitafute nikusaidie ili angalau na wewe uweke historia ya kukutana na wanaume wa tofauti na hao unaokutana nao wewe.
Wanaume unawaongelea ni hawa wanaotamani wawazalie mabosi zao? Au wanaume gani. Mwanaume anashinda kusifia mwanaume mwenzake. Mwanaume anajiita chawa ili aishi? Huyo nae mwanaume? Angalia hata humu jf wanaume wanaoheshimika wakoje, huwakuti kwenye mada za 50/50 kwasababu wanaelewa hiyo dhana ni ya kifursa. Kazi kwenye vilaza sasa mnataka wanawake wote waondoke makazini ili mtambe na ukilaza wenu. Na tutawaburuza humo maofisini hadi mjambe cheche

Umeona wapi Wanaume kamili wana bash wanawake kwenye social medias just to prove a point. Mko intimidated bwana huo ndo ukweli. Wengi mmekalishwa kimaamuzi na kifikra na wanawake. you act like kids unakuta toto la kiume lina mke ila kila kitu linakwambia mommy said this mommy that unatamba na range ya bi mkubwa af mnataka mheshimiwe. Em
Kitulize
 
Af unavosema najumuisha jambo kuwa la wote. Mbona kule ulikua una support kwamba wanawake wanaofanya kazi ni wajeuri na wabishi huoni kama ulijumuisha wote?

Ni wote sababu ya kuwa wapo katika Ombwe ambalo haliwatenganishi na hizo sifa. Sababu Wanawake sio umbile lenu kutafuta pesa bali ni kuletewa, kutunzwa na kuhudumiwa baada ya maendeleo ya viwanda alivyotolewa nyumbani na kuingizwa viwandani mwanamke akawa hana thamani tena. Kuna ukweli huwa mnauficha. Hii sio nukta ya msingi ila nimenogesha tu.
 
Habari, mimi nimeoa nina mke na nimezaa nae watoto wa nne, mke wangu ni mzaliwa wa Tanga, kuna mistake ambayo nilifanya nilijikuta natoka nje ya ndoa yangu na kuanzisha mahusiano na binti mwingine (mchepuko) ambae ni mzaliwa wa kondoa (mrangi) na huyu mchepuko pia nimezaa nae watoto wawili. Mke wangu amegundua kuwa nimechepuka na nimezaa nje ya ndoa yangu, furaha imetoweka ndani ya nyumba na mke wangu anataka nimpe talaka tuachane. Kiukweli nashindwa kumuacha mke wangu kwasababu ni mwanamke mwenye kujielewa sana, mpambanaji na pia ndie nilieanza nae tangu sina kitu mpaka Leo hii mungu kajaalia nina maisha mazuri

Niliteleza kuchepuka na kuanzisha mahusiano na huyu mwanamke mwingine wa kirangi na kuzaa nae

Kitu sahihi ambacho nimewaza au naona ni sahihi ili kunusuru ndoa yangu ni kuachana na huu mchepuko ili nibaki na mke wangu tulee watoto wetu kwasababu huyu mchepuko kwanza hana akili ya maisha anachojua ni starehe na kupenda vitu vya thamani ambavyo havina maana katika maisha yani hawazi maendeleo yoyote zaidi ya starehe na kuvaa nguo mpya tu

Nimewaza niwajengee watoto niliozaa na huyu mchepuko kisha nimpe msingi afungue biashara ili hiyo biashara atakayofungua ndio iwe inapatikana pesa ya kulisha watoto, na nimepanga kuwakatia Bima ya afya watoto ili iwasaidie pindi wakiumwa kwa maana mimi nibakie na jukumu la kuhakikisha tu watotoe wanasoma na kulipiwa Ada shule.

Sihitaji connection yoyote na huyu mchepuko ili niweze kukaa na mke wangu kwa amani na yeye nimuache na maisha yake.

Naomba kujua, nikimfungulia biashara ili iwe inasaidia kulisha watoto niweze kuepeka suala la kutoa pesa za kila siku za matumizi ya watoto ni sahihi au si sahihi?! Naomba ushauri wenu na mawazo yenu nini sahihi nikifanye maana naona tayar nishachanganya Unga na cement kwenye maji mpaka sasahivi, nishauri chochote ambacho unahisi kitanisaidia
kama mke anataka kuondoka, mwache aondoke. Kama ni mtaji au kumjengea, mjengee mke, atajisimamia kama ulivyodai ni mpambanaji. Na kwa kuwa ulimuona mchepuko ni zaidi ya mkeo, ishi na mchepuko umlee kwa kuwa hawezi kujipambania. Kupanga ni kuchagua, ulichochagua ishi nacho!
 
Kufungua biashara ni jambo la kwanza na ku run biashara ni jambo lingine
Jamaa mtupu huyu. Hamjui nini anataka kufanya. Pengine kafanikiwa kutokana na mkewe anayemsaliti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom