Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,434
mimi ninakaa na kaka yangu na shem ambaye pia tunaishi na mtoto wa dada yake (huyo shem) ambaye mimi nina mahusiano naye ya mapenzi siri now ni kama mwaka 1 umeshafika,nileinda chuo kusoma but nimerudi nimemkuta ana mahusiano ya siri na mtu mwingine lakini kwa jinsi ninavyompenda siwez i kumuacha na hatoki kwenye mawazo yangu kiasi hata sili wala silali vizuri naye anajua kama nampenda but kwenye simu yake nakuta msg za ajabu but naogopa kumuuliza coz tutakwaruzana na mimi sipendi coz naumia ila pia sitaki aendelee kuutesa moyo wangu,niambieni nifanye nini ili nipunguze au hata niache kumpenda coz ananiumiza sana
nitafurahi nikipata ushauri kutoka kwa mabinti kipindi nipo chuo tuligombana but tukarudiabna na kupendana sana but now hali ndiyo imefikia kama ilipo piz naombeni ushauri wenu thanks
bahati mbaya mimi ni mmama.....ningekuwa binti ningekushauri.....
mimi ninakaa na kaka yangu na shem ambaye pia tunaishi na mtoto wa dada yake (huyo shem) ambaye mimi nina mahusiano naye ya mapenzi siri now ni kama mwaka 1 umeshafika,nileinda chuo kusoma but nimerudi nimemkuta ana mahusiano ya siri na mtu mwingine lakini kwa jinsi ninavyompenda siwez i kumuacha na hatoki kwenye mawazo yangu kiasi hata sili wala silali vizuri naye anajua kama nampenda but kwenye simu yake nakuta msg za ajabu but naogopa kumuuliza coz tutakwaruzana na mimi sipendi coz naumia ila pia sitaki aendelee kuutesa moyo wangu,niambieni nifanye nini ili nipunguze au hata niache kumpenda coz ananiumiza sana
nitafurahi nikipata ushauri kutoka kwa mabinti kipindi nipo chuo tuligombana but tukarudiabna na kupendana sana but now hali ndiyo imefikia kama ilipo piz naombeni ushauri wenu thanks
wanawake woooooooooote umeamua kula sahani moja na ukoonwa shemejio? Heri hata kavuta mwingine cha kufanya songa mbele na hiyo TABIA MBAYA ACHA!
Mbona yeye anakudump? Do the same hayo nii mapenzi gani ya kumpenda mtu ambae si mwaminifu?
tatizo nikisikia hata sauti yake mapigo yangu ya moyo yanaenda mbio,embu niambie nifanye vi2 gani ili niache kumpenda hata ikiwezekana nianze kumchukia thoug co sana,
<br />Samahani mimi siyo binti kwa sababu umetaka ushauri kwa mabinti tu!
mimi ninakaa na kaka yangu na shem ambaye pia tunaishi na mtoto wa dada yake (huyo shem) ambaye mimi nina mahusiano naye ya mapenzi siri now ni kama mwaka 1 umeshafika,nileinda chuo kusoma but nimerudi nimemkuta ana mahusiano ya siri na mtu mwingine lakini kwa jinsi ninavyompenda siwez i kumuacha na hatoki kwenye mawazo yangu kiasi hata sili wala silali vizuri naye anajua kama nampenda but kwenye simu yake nakuta msg za ajabu but naogopa kumuuliza coz tutakwaruzana na mimi sipendi coz naumia ila pia sitaki aendelee kuutesa moyo wangu,niambieni nifanye nini ili nipunguze au hata niache kumpenda coz ananiumiza sana
nitafurahi nikipata ushauri kutoka kwa mabinti kipindi nipo chuo tuligombana but tukarudiabna na kupendana sana but now hali ndiyo imefikia kama ilipo piz naombeni ushauri wenu thanks