Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Mapema sana nilisema never trust a woman ukasema among of them your!! My qn is y two boys and not one!!
wana jamvi mimi ni kijana nina 27 yrs, tatizo langu ni kwamba nilikuwa na girlfriend wangu ambaye tulipendana saana!!
Mpenzi wangu huyu nilikutana naye kipindi nikiwa nahitimu chuo mwaka 2011, sio siri nilimpenda na nilimuona kila kitu kwangu kwa ukweli hata yeye anajua nilimpenda naye pia!
baadhi ya ndugu zangu walimfahamu na pia ndugu zake walinifahamu!!!
kila mmoja wetu alipopata shida tulisaidiana!!! tulikuwa tukitembeleana mara kwa mara kwani yeye alikuwa iringa na mimi dar!!! mwanzoni mwa mwaka Jana nilisafiri kuja mikoa ya kanda ya ziwa!! hivyo tukawa mbali mbali zaidi kuliko ilivyokuwa awali! Tulipanga Dec mwaka Jana tungeenda kutambulishana lakini nikashindwa kwenda kutokana na majukumu niliyonayo huku nilipo! ulizuka ugomvi mkubwa! mpenzi wangu yule alinikatia mawasiliano!
hapo nilijitahidi saana kutafuta suluhu lakini nilishindwa. mwisho ikawa ni january mwishoni mwaka huu akaniambia nitafite mwanamke mwingine! alijaribu kunihesabia yale tuliyotofautiana toka tunaanza mahusiano! nilihuzunika saana toka hapo hapokei simu wala kujibu msg zangu. najihisi kuchanganyikiwa sielewi nifanye nini, nimekata tamaa ya maisha! naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kisaikolojia ani-pm
I break up with the first one and he was the reason........
so sijaona hapo cha kukufanya uone usiwaamini wanawake
Mbaya zaidi wewe umeshapoteza maisha, yeye anaendelea kula bata
keshasema 27 msome pale mwanzo kabisaaaa
My dada hizi mambo tuziache kama zilivyo
Maana women is a source of devils
Hakuwa wako endelea na maisha yako
Ufooo Saarooo
naombeni mnielewe ndugu zangu! mnajua hayo mengine ni nature yanakuja automatically, najitahidi kukaa na marafiki, kuwa busy lakini nashindwa kumsahau kila mara namkumbuka
yeah, but najiona nina tatizo la psychology nahitaji mnipe ushauri utakaoniwezesha kukubali hali
the last time I heard Money was the source of all evils not women
yeah, but najiona nina tatizo la psychology nahitaji mnipe ushauri utakaoniwezesha kukubali hali
Pole sana najua una wakat mgumu sana,ila zingatia ushauri uliopewa na pia huyo mwanamke hafai tena kwan kwa majibu yake tayari kuna mtu anamgegeda,hivyo kama uko tayar kula ukoko,endelea kulazimisha
daah sijui unanikejeli au vp?
sipendi hii hali mimi! lakini ni nature! mimi sio wa kwanza watu kibao yamewakuta!!
nipo hapa kuomba msaada wenu! ni kweli nipo katika hali ya kuchanganyikiwa nilitamani hata niende kwa kalumanzila mpnz wangu huyu arudi
tunajua mapenzi yanauma vibaya ila at the end yuo HAVE TO MOVE ON
The first step to get over this is to accept it. Just accept that she dumped you.
A year from now, you will look at it and feel nothing. Trust me. I was once in the same situation also
dont feel bad cos you cant force someone to have a relationship with you at least she was honest,
you will go through relationships in life, you will meet someone else i know it dosen't feel like it but you
will at the moment u need to be surrounded by good friends who can cheer u up and have a good laugh.
it just wasnt meant to be, i know it hurts but you WILL meet another lovely girl.