Gogobaby
Member
- Jan 13, 2014
- 55
- 3
Nna boyfriend wangu nampenda sana tatzo ni kwamba siku hizi simuelewi kabisaa kwani amekua busy kupita kiasi inafikia kipindi wiki nzima yeye hanitafuti kwenye simu mpaka nimuanze mimi nikipiga simu hapokei badae akinipigia ananambia kitufe cha kupokelea kimeharibika na hivi sasa mwezi umepita sasa sijaonana nae.Nashindwa kumuelewa kama ni aje