Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki. Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha. Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not???
Yaani unataka kuwa right in doing wrong? Aisee
Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki. Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha. Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not???
Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki. Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha. Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not???