jamiimemba
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 156
- 39
Nimekuja kwenu wanajamvi kutaka ushauri kutoka kwa kila mmoja wenu.
Ni kwamba kuna demu nilikutana nae hapa town Dar es salaam mwaka juzi wakati yeye amemalza chuo UDSM.Sasa kiukweli nilimtamani tu sikumpenda toka moyoni nami kipindi hicho nilikuwa sina mtu sasa nikamtongoza akanikubalia na kiukwel alinipenda na ananipenda sana tena zaidi ya sana,akusita kunipa tunda la kati kati baada ya yeye kuajiliwa yeye alipata Iringa kazi so akaenda nami nikabaki DSM naendelewa na mishemishe zangu za kuuza nguo dukani kwangu.
Ikapita kama miezi miwili akaniambia ana mimba na akaniambia nisiwe na wasiwasi kama sina hela ya kumlea mtoto yey ingawa kwao mpaka saiz sijaenda kujitambulisha kwa kuwa ana ajira haita kuwa tatzo kabisa sababu anamshara mzuri so kwa kpnd ambacho tulikuwa mbali mbali nilikutana na mrembo ambae ndio nimempenda kwa dhat lakini yeye hana kazi cause alifeli huko O level.
Sasa niko njia panda naitaji mnisaidie kunionyesha direction wakuu cause yule demu wangu saizi anamtoto wangu ila ndo ananipenda sana ingawa mi sijapenda sana yani sio kwa dhat ingawa huwa akipata mshahara vi laki laki huwa ananirushia sana yani kiukweli ananipenda na saizi anasema anataka akope mkopo wa mili 7 anipe niongezee kwenye biashara yangu ili ikue zaidi ila naogopa kuchukua hizo hela.
Alafu badae nimwambie kuwa simuitaji na anaweza akazimia kwa jinsi anavyonipenda ila nngekuwa nae nahis tungepata mafanikio haraka sana ila ndo hiyvo sijampenda kutoka moyoni sio nimekuja kuomba ushauri kwenu wakuu kama niendelee nae au nimuache mapema kabla penzi letu alijaota mizizi na kunipa hyo miela then niwe na huyo mrembo mwngne ambae ndo nampenda kwa dhat ila hana mawazo makubwa kimaisha.
Natanguliza shukurani zangu za awali.
Ni kwamba kuna demu nilikutana nae hapa town Dar es salaam mwaka juzi wakati yeye amemalza chuo UDSM.Sasa kiukweli nilimtamani tu sikumpenda toka moyoni nami kipindi hicho nilikuwa sina mtu sasa nikamtongoza akanikubalia na kiukwel alinipenda na ananipenda sana tena zaidi ya sana,akusita kunipa tunda la kati kati baada ya yeye kuajiliwa yeye alipata Iringa kazi so akaenda nami nikabaki DSM naendelewa na mishemishe zangu za kuuza nguo dukani kwangu.
Ikapita kama miezi miwili akaniambia ana mimba na akaniambia nisiwe na wasiwasi kama sina hela ya kumlea mtoto yey ingawa kwao mpaka saiz sijaenda kujitambulisha kwa kuwa ana ajira haita kuwa tatzo kabisa sababu anamshara mzuri so kwa kpnd ambacho tulikuwa mbali mbali nilikutana na mrembo ambae ndio nimempenda kwa dhat lakini yeye hana kazi cause alifeli huko O level.
Sasa niko njia panda naitaji mnisaidie kunionyesha direction wakuu cause yule demu wangu saizi anamtoto wangu ila ndo ananipenda sana ingawa mi sijapenda sana yani sio kwa dhat ingawa huwa akipata mshahara vi laki laki huwa ananirushia sana yani kiukweli ananipenda na saizi anasema anataka akope mkopo wa mili 7 anipe niongezee kwenye biashara yangu ili ikue zaidi ila naogopa kuchukua hizo hela.
Alafu badae nimwambie kuwa simuitaji na anaweza akazimia kwa jinsi anavyonipenda ila nngekuwa nae nahis tungepata mafanikio haraka sana ila ndo hiyvo sijampenda kutoka moyoni sio nimekuja kuomba ushauri kwenu wakuu kama niendelee nae au nimuache mapema kabla penzi letu alijaota mizizi na kunipa hyo miela then niwe na huyo mrembo mwngne ambae ndo nampenda kwa dhat ila hana mawazo makubwa kimaisha.
Natanguliza shukurani zangu za awali.