smatskills
Member
- Nov 12, 2017
- 30
- 19
Acha uongoUkinunua infinix ni umenunua Tecno, wote mama mmoja. Kampuni ya tecno ndio ya infinix na ndio ya itel
Nipe ukweli. Watu wengine bana kubali usichojua wenzio wanajua. We unadhan nimejisikia tu kuandika bila kujua ukweliAcha uongo
Tupe elimu kidogo basi mkuu kuhusu hiloNipe ukweli. Watu wengine bana kubali usichojua wenzio wanajua. We unadhan nimejisikia tu kuandika bila kujua ukweli
Mkuu tecno ni brand ya kampuni ya kichina iko hongkong wengi wanasema tecno hawana adress tecno wana adress ila sio kampuni kwa sasa tecno ni brand tu ya device zaoTupe elimu kidogo basi mkuu kuhusu hilo
Ahsante mkuu kwa kuniongezea kitu kichwaniMkuu tecno ni brand ya kampuni ya kichina iko hongkong wengi wanasema tecno hawana adress tecno wana adress ila sio kampuni kwa sasa tecno ni brand tu ya device zao
Iyo kampuni inamiliki brand za simu na vifaa mbalimbali bya umeme kwa majina tofauti tu, nchi za Asia, india na Africa.
Tecno, infinix, itel zote zao, kule india wana simu za majina kama Spice. Lakini pia hawa jamaa wana vifaa mbalimbali kwa jina la Oramia
Sasa umewai kukutana na brand ya Synix? Imejaaa mjini saizi TV, Friji, AC, tena flat screen zake zimejaa K.koo. wote hao wanatoka nyumbani kwao tecno. Kampuni moja inatengemeza kwa majina tofauti na kuuza nchi tofauti
Mkuu tecno ni brand ya kampuni ya kichina iko hongkong wengi wanasema tecno hawana adress tecno wana adress ila sio kampuni kwa sasa tecno ni brand tu ya device zaoTupe elimu kidogo basi mkuu kuhusu hilo
Ahsante mkuu kwa kuniongezea kitu kichwani
Ahsante mkuu kwa kuniongezea kitu kichwani
Sasa ukijua itakusaidia nn?We ni me au ke!
Habari ndugu na jamaa,juzi nimeuza simu yangu ila nimependa hizi simu za Infinix ila sijajua ipi nzuri,kuna simu moja nimeona hapa
Sifa na uwezo wa Infinix Hot 5 X559c ~ SmatSkills ina vigezo vingi kasoro kamera ina MP8,kwa mzoefu wa hizi simu naomba muongozo naitaka hiyo je itanifaa??
Asanteni sana