Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
Dirisha limefunguliwa rasmi lakukata rufaa kwa wale wote ambao hawajaridhika na kiwango walichopewa na waliokosa kabisa
Kwamimi binafsi nilipata asilimia tisini lakini sikupewa books and stationary sasa nauliza je nikikata rufaa majibu yatakayokuja ya naweza pia yakawa chini ya asilimia tisini? Au wanaweza kuniongezea au asilimia ikabaki ileile?
Maana nahofia nisije nikakata rufaa halafu baadae majibu yakatoka chini yakiwango kuliko ata asilimia tisini nilionayo sasa
#mbowesiogaidi
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Kwamimi binafsi nilipata asilimia tisini lakini sikupewa books and stationary sasa nauliza je nikikata rufaa majibu yatakayokuja ya naweza pia yakawa chini ya asilimia tisini? Au wanaweza kuniongezea au asilimia ikabaki ileile?
Maana nahofia nisije nikakata rufaa halafu baadae majibu yakatoka chini yakiwango kuliko ata asilimia tisini nilionayo sasa
#mbowesiogaidi
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app