Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

AON

Senior Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
106
Reaction score
18
Ninampenzi wangu tunapendana lakini tatizo lake anahisia kali sana pale anapogusana na mtu hasa mwanaume atawakisalimiana kwa kushikana mikono mwili wake unasisimuka sana. Mfano kama nikitaka kudu nae nikimshika mkono tu analegea na anakuwa na hamu ya kudu.

Wasiwasi wangu kuhusu huyu mpenzi nahisi nikimuoa nitakuwa naibiwa sana hasa kwawale wanaojua udhaifu wake Yeye kaniambia niko pekeyangu lakini sidhani maana ndo nimeanza nae uhusiano hata mwezi haujaisha. Nitawezaje kumsaidia mpenzi wangu ili awezepunguza hisia zake.

Naombeni ushauri jamani.
 
tatizo hujiamini ndio maana unawasiwasi bora uachane nae
 
Duh sasa najiuliza kama yuko kweli namna hiyo si mko foleni najaribu kuwaza miezi kadhaa nyuma kabla hujakutana nae ilikuaje na sasa yukoje. Kweli katulia huyo mmmmmh mapenzi kweli uchongo kama si upofu.
 
Back
Top Bottom