aikiguswa na yeyote anasisimka au ukimgusa wewe ndo anakuwa na hiyo hali? let me assume akiguswa na yeyote huwa anasisimka... ina maana alikumbia hivyo?
ktk ujana wangu niliwahi kukutana na wa hivyo, mwanzoni nilidhani anaekti lakini baadae niligundua ndivyo alivyo, kuna watu wako hivyo, ila analegea kwa anayemzimikia siyo kwa kila mwanaume amshikae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.