Naombeni ushauri kuhusu chanel ya Azam

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Mimi hapa kwangu Mwanza ninatumia channel ya AZAM TV na juzi tu ndiyo nimelipa. Kwa siku nne hivi channel ya Azam inapatikana jioni tu na kwa taabu sana. Leo asubuhi mpaka muda huu ndiyo haionekani kabisa.

Nawaombeni ushauri nifanye nini ukichukulia kuwa luninga ndiyo sasa hivi inatupa habari ya kila siku.
 
Kwenye ufungaji kuna aina mbili ya kuweka horizontal na vertical sasa inategemea fundi wako kakufungiaje mwite akubadilishie lasivyo utaangaika sana. Hapo kwako kutakua na mwingiliano
 
Kwa AZAM TV naona wengi watashindwa kukushauri maana naona ndio TV pekee duniani ambayo kipindi cha moja kwa moja yaani LIVE huwezi kukifahamu sababu hawaweki hiyo alama hasa AZAM TWO kwenye matangazo ya mpira hebu angalia kama utaweza kuiona hiyo alama binafsi nimeshatoa maoni sana kuhusu hili lakini wapi yawezekana ndio utaratibu wa kisasa zaidi
 
Kwa AZAM TV naona wengi watashindwa kukushauri maana naona ndio TV pekee duniani ambayo kipindi cha moja kwa moja yaani LIVE huwezi kukifahamu sababu hawaweki hiyo alama hasa AZAM TWO kwenye matangazo ya mpira hebu angalia kama utaweza kuiona hiyo alama binafsi nimeshatoa maoni sana kuhusu hili lakini wapi yawezekana ndio utaratibu wa kisasa zaidi
umeamzisha mada tofauti kabisa na muuliza swali
 
Mimi hapa kwangu Mwanza ninatumia channel ya AZAM TV na juzi tu ndiyo nimelipa. Kwa siku nne hivi channel ya Azam inapatikana jioni tu na kwa taabu sana. Leo asubuhi mpaka muda huu ndiyo haionekani kabisa.

Nawaombeni ushauri nifanye nini ukichukulia kuwa luninga ndiyo sasa hivi inatupa habari ya kila siku.
Hapo mtafute fundi. Ni technical issue
 
Back
Top Bottom