mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 817
- 1,545
Mwezi wa nne nikiwa safarini kutoa Arusha-Dar nilibahatika kukaa siti moja na Binti mrembo kweli kweli,,na alikuwa mchangamfu sana,tulioeana kwa muda mfupi tukapiga story nyingi sanaa sanaa,,tulivofika korogwe(hotelini) akaniomba simu yangu apige picha kadhaa sababu hakuwa ba smartphone kwa madai atakapofika dar akipta smartphone nitazimtumia,,sikuwa na hiyana akapiga picha nyingi n zingine tukapiga nae nikamlipia vitu alivyotumia hotelini tukarejea garini safari ikaendelea tukiwa kama mtu na mpenzi wake wa siku nyingi.
Bahati nzuri zaidi yule binti uelekeo wetu ulikuwa mmoja(tabata segerea) tulipofika ubungo alipokelewa na mwana mama mmoja ambae alinitambulisha ni mama yake mdogo,,mimi nilikuja pokelewa na kaka yangu ambae alikuka na usafiri binafsi kwa kuwa wao hawakuwa na usafiri ilibidi tuwachukue katika gari alilokuja nalo braza kunipokea, tukaondoka hadi wakafika wanapoishi sisi tukaendelea mbele kidogo,,hatukuwa tunaishi mbali sanaa,
TATIZO LIKAANZA
Baada ya kufika na kupumzika nikamtext binti sms hakujibu matokeo yake alinitumia please call me,,nikaamua kuonyesha uanaume nikamuunga kifurushi cha SMS cha siku 30 baada ya hapo nikapiga hakupokea,sms hakujibu,,hali ile ikaendelea kwa siku kama nne,,siku ya tano nikaenda kwao AJABU alinipokea kwa furaha sanaa akionyesha amenimiss na nikamuomba twende mahali hata tukapate kinywaji akakubali tukatoka nikamuuliza sana kwnini hapokei simu wala kujibu sms hakunipa jibu la maana,,ila akaniomba radhi kuwa tutakuwa tunawasiliana ajabu akaendeleaa vile vilee ila kila tunapokutana hata kwa bahati mbaua anakuwa mchangamfu sanaa siku moja nikaamua kubadilisha namba akapokea tukaongea kidogo sikujitambulisha nikakakata nikamtext kwa namba mpya akajibu,,nikamtext kwa yangu akakaa kimyaa.
Kuna siku usiku akanitext nimtumie picha zake nikatuma wasap ikaishia hapo nikimtext sms anasoma ila hajibu
Katika mambo ninayojikubali huwa ni kiwa na ulimi mlaini kwa mabiniti warembo,enzi nipo chuo baadhi ya marafiki zangu walifikia hatua ya kusema ninatumia dawa kuwanasa warembo kwani hakuna mtoto mzuri ambae ningemtaka akakataa hadi mimi mwenyewe sometime nilikuwa najishangaa na hadi leo bado nikitaka binti huwa ni ngumu kuchomoa japo sasa hivi nimepunguza sanaa kufungua fungua zipu hovyo ila kiukweli sijawahi kukutana na binti wa sampuli hii na naomba mabaharia wenzangu mnijuze mabinti kama hawa huwa zinatumika mbinu gani kuwanasaa
Bahati nzuri zaidi yule binti uelekeo wetu ulikuwa mmoja(tabata segerea) tulipofika ubungo alipokelewa na mwana mama mmoja ambae alinitambulisha ni mama yake mdogo,,mimi nilikuja pokelewa na kaka yangu ambae alikuka na usafiri binafsi kwa kuwa wao hawakuwa na usafiri ilibidi tuwachukue katika gari alilokuja nalo braza kunipokea, tukaondoka hadi wakafika wanapoishi sisi tukaendelea mbele kidogo,,hatukuwa tunaishi mbali sanaa,
TATIZO LIKAANZA
Baada ya kufika na kupumzika nikamtext binti sms hakujibu matokeo yake alinitumia please call me,,nikaamua kuonyesha uanaume nikamuunga kifurushi cha SMS cha siku 30 baada ya hapo nikapiga hakupokea,sms hakujibu,,hali ile ikaendelea kwa siku kama nne,,siku ya tano nikaenda kwao AJABU alinipokea kwa furaha sanaa akionyesha amenimiss na nikamuomba twende mahali hata tukapate kinywaji akakubali tukatoka nikamuuliza sana kwnini hapokei simu wala kujibu sms hakunipa jibu la maana,,ila akaniomba radhi kuwa tutakuwa tunawasiliana ajabu akaendeleaa vile vilee ila kila tunapokutana hata kwa bahati mbaua anakuwa mchangamfu sanaa siku moja nikaamua kubadilisha namba akapokea tukaongea kidogo sikujitambulisha nikakakata nikamtext kwa namba mpya akajibu,,nikamtext kwa yangu akakaa kimyaa.
Kuna siku usiku akanitext nimtumie picha zake nikatuma wasap ikaishia hapo nikimtext sms anasoma ila hajibu
Katika mambo ninayojikubali huwa ni kiwa na ulimi mlaini kwa mabiniti warembo,enzi nipo chuo baadhi ya marafiki zangu walifikia hatua ya kusema ninatumia dawa kuwanasa warembo kwani hakuna mtoto mzuri ambae ningemtaka akakataa hadi mimi mwenyewe sometime nilikuwa najishangaa na hadi leo bado nikitaka binti huwa ni ngumu kuchomoa japo sasa hivi nimepunguza sanaa kufungua fungua zipu hovyo ila kiukweli sijawahi kukutana na binti wa sampuli hii na naomba mabaharia wenzangu mnijuze mabinti kama hawa huwa zinatumika mbinu gani kuwanasaa