iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 377
- 887
kwa maeneo uliyoyalenga kufanya biashara hasa sinza hiyo hela inaweza ishia kwenye kodi ya fremu.
Dar kwa moto sana
Nakushauri tafuta sukari hata tani 2 iyo pesa inatosha sana
Njoo burundi kuna uhaba wa sukari kuliko maelezo.kiasi kwamba ukinunua maziwa kukuwekea sukari itabidi uongeze pesa..Nikuhakikishie itagombaniwa kama danadana na siku 3 utakua umeuza yote..isipotoka nilaumiwe mimi
Nguo kwakweli kila mtu anauza nguo saivi
kwa maeneo uliyoyalenga kufanya biashara hasa sinza hiyo hela inaweza ishia kwenye kodi ya fremu.
sina experience ya gharama za maeneo ya tabata ila jaribu kuwa na wazo la biashara zaidi ya mojaVipi kuhusu Tabata
Kuna kitu nimeona juzi hapo Mwanza Nyamhongolo pale ng'ambo ya stendi mpya.
Tafuta eneo pale, weka duka la maji ya kunywa jumla na reja, soda jumla na reja, tushu jumla na reja, biskut, pipi, jojo na vitu kama hizo.
Huna haja ya kukimbilia Dar, wetuliza fuvu vizuri hapo nilipo kuelekeza utaona kitu cha tofauti na manufaa ya badae. Ile stendi imeanza kukua na soon itachangamka
Basi sawa mkuu, ukiamka soma tena nilicho kiandika kama utanielewa vizuri.Sasa hyo stend unayoiongelea tayari imeshaondolewa, sahivi imefunguliwa ile mpya iliyojengwa na Magufuli,
Siyo kwelikwa maeneo uliyoyalenga kufanya biashara hasa sinza hiyo hela inaweza ishia kwenye kodi ya fremu.
kweli ni ipi?Siyo kweli
Watu hawasomi iliwaelewe wanasoma ili wa-replyBasi sawa mkuu, ukiamka soma tena nilicho kiandika kama utanielewa vizuri.
Ila ukiona haujaelewa, basi nikutakie safari njema ya daslam
Uhaba wa bidhaa ktk nchi nzima hua taifa husika linatatua haraka hiyo shida, ukimwambia hayo ataleta Sukari na akute tayari Serikali imeshashusha mzigo wa kutosha na aishie kupata hasaraDar kwa moto sana
Nakushauri tafuta sukari hata tani 2 iyo pesa inatosha sana
Njoo burundi kuna uhaba wa sukari kuliko maelezo.kiasi kwamba ukinunua maziwa kukuwekea sukari itabidi uongeze pesa..Nikuhakikishie itagombaniwa kama danadana na siku 3 utakua umeuza yote..isipotoka nilaumiwe mimi
Nguo kwakweli kila mtu anauza nguo saivi
Hakuna mfanyabiashara serious atakaeweza kukodi frem juu ya laki 2 Kwa mwez ushambani kama sinza na TabataWatu hawasomi iliwaelewe wanasoma ili wa-reply
Nipo nchini humo mwezi wa 4 sasa naelewa changamoto hizo..nimeshauliza na kufanya utafiti wa kutosha ndomaana nimeandika..nina uhakika na nilichoandika 80%Uhaba wa bidhaa ktk nchi nzima hua taifa husika linatatua haraka hiyo shida, ukimwambia hayo ataleta Sukari na akute tayari Serikali imeshashusha mzigo wa kutosha na aishie kupata hasara
Naleta uzi soonHii biashara sina experience nayo, labda unipe maelezo zaid
4mil kwa dar si you mtaji. anzia hukohuko kwanza ukishapandisha mtaji ndiyo uwe na mawazo ya kuhamia dar. hiyo 4mil kwa dar ni mtaji wa biashara ya kwenye kikapuWakuu, mimi nina mtaji wa 4 millions (Million nne). Kwa sasa nipo Mwanza lakini nilikua na mpango wa kwenda Dar kuanza kujitafta rasmi kwaajiri ya maisha yangu, na nina lengo la kufanya biashara ya duka la nguo za kike na kiume huko Dar,
Dar nina connection na wenyeji wangu wanafanya hii biashara kwenye soko la Kaliakoo lakini mimi nlkua nataka hii biashara niifanyie Tabata au Sinza, sehemu hizo mbili, moja wapo frame nzuri ya biashara ikipatikana ntaenda kufungua duka hilo.
Je malengo yangu yako sawa, naombeni ushauri wenu wana JF, kuhusu familia mim nipo single sina mke wala mtoto, na nikifika Dar ntapanga chumba cha kuishi.
Naombeni ushauri kwa wale wenyeji wa Tabata na Sinza.