Hata Kama Dada yangu, Huyu Mama ana mtoto mbali na kuwa na umri wa miaka 30 lakini hajajibu upande wake wa Mahusiano yake na baba wa huyo Mtoto.... Huyu baba ana miaka 38 wakati Mtoto wake wa kwanza ana miaka 11 hence mtoto alimpata akiwa na miaka 28 Je ni Mama huyo huyo au? Tatu ameachana na Huyo mama miaka miwili iliyopita, Walikuwa wameoana tena kwa Kanisani, Hata kama niuchu wa kuolewa 2 Years inaweza kuwa siyo kweli ila kwa kuwa Mshikaji anapata shida ya Malezi ndiyo sababu.
Bidada anahaja yakujiridhisha kwanza Kabla ya Kuingiza wowo yake yote huko. Mbaya zaidi wote hawana Hisia ... Si baba wala Huyu Mama tena ni Mwezi Mmoja toka wawe kwenye Mahusiano lakini according kwa Bidada anasema wanaweza kukaa hata wiki bila kuwasiliana. Ila kwa inavyoonekana wameshagegedana sana.
Labda bidia Happy Amos atueleweshe hayo maongezi ya kwenda kujitambulisha au kuwasiliana na kuongea juu ya Ndoa wanayaongeaji wakati wanaweza kukaa wiki nzima bila kuwasiliana na wana Just Mwezi Mzima tu kwenye mahusiano?
Bi Dada kuna kitu amekificha ili tumpe ushauri wa Ukweli Awe Muwazi la sivyo atakuja na Mrejesho hapa wa Kilio.