momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,041
- 2,140
mkuu kwani mko mapacha na huyo dada mpaka unaogopa kumpiga chini?
Ampige chini vipi wakati hapo mahusiano yameshajipiga chini yenyewe!
mkuu kwani mko mapacha na huyo dada mpaka unaogopa kumpiga chini?
Mkuu mgiriki 28 yrs old anauliza mambo gani haya..kweli kabisa mkuu siku hizi wanaume ni wachache ila sura za wanaume ni nyingi.
Miaka 28 unakuwa zezeta
mkuu kwani mko mapacha na huyo dada mpaka unaogopa kumpiga chini?
kweli kabisa mkuu siku hizi wanaume ni wachache ila sura za wanaume ni nyingi.
Miaka 28 unakuwa zezeta
Ni hivi mimi ni kijana mwenye miaka 28, nilipata mchumba wangu ambaye mwanzoni tulikuwa tunaishi vizuri baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu. Lakini yapata karibu miezi minne hivi mahusiano yetu yamepungua kuna rafiki yangu huyu mwanamke alijipeleka mwenyewe isitoshe kuna jamaa mwingine anatoka naye nimefuatilia nikagundua ni kweli kwa kudhibitisha kwamba wana mahusiano na huyo jamaa . Sasa imefikia hata ukimwita hataki kuja lingine aliwahi kuniambia mimi simmiliki na cjamtolea mahari nimefikiria sana hilo suala lakini naombeni mnipe ushauri
I hate wanaume wa tabia hizi una 28 yrs hata maamuzi kwa suala dogo kama yamekushinda kufanya jaman
Unategemea uitwe baba kiongozi
Ramani hujui picha nalo hujui...njano umeshawashiwa
Achana nae mkuu Fanya mambo mengine
Mapenzi hayalazimishwi
Huyu jamaa ashapigwa chini na demu. jipange upya mkuu ipo cku na ww nyota yako itan'gala
mkuu kwani mko mapacha na huyo dada mpaka unaogopa kumpiga chini?
At 28, u are not supposed to be this deserate mkuu!
Anyway, mapenzi hayana ushauri...
Eti eeh! !!
Hiyo eti ni ya part ipi!??
As a man, personally, hata nikifika 40 sitakuwa worried over a woman..let alone one to marry!!!